DAS Singida ataka waandishi wa Habari wapeleke CV zao ofisini kwake

DAS Singida ataka waandishi wa Habari wapeleke CV zao ofisini kwake

Wapeleke CV sababu wanatoa taarifa kwa ajil.ya public consumption ,kuhoji kuwa sio waajiliwa wa serikali ni ujinga ni sawaa atokee Dr awe anatibu watu tu kwamba yuko huru kwa kuwa sio mwajiliwa wa serikal

Na ifahamike tu habar zinazotolewa na wanahabar zinaaminika sanaa

Hilo swala washughulikie watu wa wizara husika na sio yeyey.
 
Kwani wakipeleka CV zao kwa DAS watapungukiwa nini? Na wakigoma kupeleka wanaficha nini? Je, kama DAS au Serikali ina lengo zuri kwao? Iweje kila kitu watu wanakuwa negative tu? Maswali ni mengi.
JD ya DAS ikoje? Huko Singida.
Approach aloitumia haina balance,kila mkoa una viongozi was waandishi wa habari,angejaribu hata kuwaona kiaina
 
Hiz ng'ombe za kuteuliwa sasa znavuka mipaka kwakweli n ufala na nusu
Kama huna cheti cha uandishi wa habari kaa kimya! Uandishi wa habari uwe taaluma zaidi kuliko ukajanja. Siyo una kacheti sijui kutoka Sinoni school of journalism au Njuweni afu unanyanyua tak.o mtaani ati na wewe ni mwandishi wa habari. Nani kasema? Pelekeni CV mtambulike.
 
Acha utoto wa kitoto. Hujui kuwa kuna waandishi wengine hawana expore kabisa na mambo yanayoendelea nchini, sembuse Kimataifa?

Uelewa wa wengi wao ni hafifu mno, mpaka mtu unashangaa amekuwaje mtangazaji/mwandishi wa habari.

Wanaogopa nini kupeleka? Walishaambiwa ikifika muda fulani bado hawajakuwa na qualification zilizowekwa na Serikali, waanze kujitafakari.

Kuna baadhi yao wanawaharibia waandishi/watangazaji wazuri wenye uelewa.

DAS yupo sahihi kukazia maelekezo.
Muandishi akikosea, kuna taratibu na sheria za kumuwajibisha.

Hilo halihitaji serikali kuangalia CV.

CV ilishaangaliwa na muajiri na mhariri anapitia habari.
 
Halafu mkikosa uteuzi mseme hamna bahati
 
Kama huna cheti cha uandishi wa habari kaa kimya! Uandishi wa habari uwe taaluma zaidi kuliko ukajanja. Siyo una kacheti sijui kutoka Sinoni school of journalism au Njuweni afu unanyanyua tak.o mtaani ati na wewe ni mwandishi wa habari. Nani kasema? Pelekeni CV mtambulike.
Mwenye Kacheti hana CV ? Au CV maana yake nini ?

Na Das ndio Mtambuzi wa Waandishi ?
 
Ali Mwendo amewataka waandishi wa habari Singida wawasilishe CV zao kwake, Mwenyekiti wa Singida Press Club akamjibu sio sahihi kwani wao sio waajiriwa wa Serikali.

Jambo hili ni geni sana itapendeza Waziri wetu Nape aingilie kati
Asee kuna sehem pia huku pwani nimesikia ofisi ya usalama wa taifa inataka cv na vyeti vya waandishi! Nimeshangaa sana au hili jambo ni la nchi nzima? Kuna ajenda nahis kaeni chonjo
 
Ali Mwendo amewataka waandishi wa habari Singida wawasilishe CV zao kwake, Mwenyekiti wa Singida Press Club akamjibu sio sahihi kwani wao sio waajiriwa wa Serikali.

Jambo hili ni geni sana itapendeza Waziri wetu Nape aingilie kati
Miongozo ipi inayowaongoza waandishi wa Habari,?
Kama wao si waajiriwa wa serekali ni sahihi je serekali haisimamii hi secta ya Habari,?

Masharti ya kuwa Mwandishi wa Habari ni yapi.?
Ukinijibu haya maswali nitaelewa vema?
 
Hakuna sheria ya RAS kuangalia CV za waandiahi wa habari.

Kama unafikiri ipo, iweke hapa tuichambue.
Mada ilimhusu DAS, sio RAS. Huelewi tofauti yao, acha kukariri mambo.

Tofauti yao ni;

DAS ## Katibu Tawala Wilaya.
RAS ## Katibu Tawala Mkoa.

Kwa hiyo umekiri na unajua kuwa kuna sheria inayompa kiongozi fulani (sio DAS) mamlaka ya kuangalia CV za waandishi waliopo ndani ya Wilaya au Mikoa.

Ungekuwa unajua maana ya maneno deligate, accountabilty na responsibilty katika medani za utawala, usingejibu ki-leimani hivi pamoja na kuwa mbishi kama watu wa mwambao wa Ziwa Tanganyika.

Kwa hiyo, agizo hilo la DAS (baada ya kuwa deligated) wa Singida ni sahihi kwa kuwa anakazia hili;

Kiwango cha Elimu kwa Waandishi wa Habari ni Diploma, Sheria iliyosainiwa na Rais Novemba 16, 2016 ambapo siku mbili baadaye ilichapishwa kwenye gazeti la serikali baada ya muswada wake kupitishwa na Mkutano wa 5 wa bunge mwezi Novemba 2016.
 
Muandishi akikosea, kuna taratibu na sheria za kumuwajibisha.

Hilo halihitaji serikali kuangalia CV.

CV ilishaangaliwa na muajiri na mhariri anapitia habari.
Nimekujibu hapo juu, soma kwa kutulia bwasheee.
 
Ali Mwendo amewataka waandishi wa habari Singida wawasilishe CV zao kwake, Mwenyekiti wa Singida Press Club akamjibu sio sahihi kwani wao sio waajiriwa wa Serikali.

Jambo hili ni geni sana itapendeza Waziri wetu Nape aingilie kati
Huu ni ujinga kabisa hvwa wanapangiwa cha kuripot
 
Huyo DAS ana akili zilizopitiliza!

Yuko sahihi 100%. Mtaani kumejaa waandishi wa habari uchwara na makanjanja balaa.Wametuharibia lugha na maadili kabisa!

Yamejaa huko redioni ,mitandaoni na kwenye magazeti hayajui matumizi sahihu ya lugha!
Mwandishi mzima anatasema " hii ni taalifa ya habali", mara " mirasi" , zarau, sizani, bizaa!

"Nyimbo hii ni kali"?! Hayajui tofauti kati ya Nyimbo na Wimbo!

DAS wakuletee CV zao haraka sana, wewe ni genius!

Waziri wa Habari ,Mhe.Nape Nauye tunaomba hili litengenezewe utaratibu liwe zoezi la Nchi nzima!

Mtu huwezi kuwa DJ huko Uswazi au mpiga picha kwenye Kitchen Parties siku mbili ,tatu eti unajiita mwandishi wa habari!

Makanjanja mtapinga sana lakini ukweli ndo huo.
 
Mada ilimhusu DAS, sio RAS. Huelewi tofauti yao, acha kukariri mambo.

Tofauti yao ni;

DAS ## Katibu Tawala Wilaya.
RAS ## Katibu Tawala Mkoa.

Kwa hiyo umekiri na unajua kuwa kuna sheria inayompa kiongozi fulani (sio DAS) mamlaka ya kuangalia CV za waandishi waliopo ndani ya Wilaya au Mikoa.

Ungekuwa unajua maana ya maneno deligate, accountabilty na responsibilty katika medani za utawala, usingejibu ki-leimani hivi pamoja na kuwa mbishi kama watu wa mwambao wa Ziwa Tanganyika.

Kwa hiyo, agizo hilo la DAS (baada ya kuwa deligated) wa Singida ni sahihi kwa kuwa anakazia hili;

Kiwango cha Elimu kwa Waandishi wa Habari ni Diploma, Sheria iliyosainiwa na Rais Novemba 16, 2016 ambapo siku mbili baadaye ilichapishwa kwenye gazeti la serikali baada ya muswada wake kupitishwa na Mkutano wa 5 wa bunge mwezi Novemba 2016.
Rais, DAS, RAS, mpaka RAStafari.

Wote hawana sheria ya kulazimisha waandishi wa habari wawapelekee CV.

Kama ipo, ilete hapa tuichambue.

Wewe huwezi hata kuandika "delegated".

Unaandika "deligated".

Ulivyoandika hivyo mara ya kwanza nikajua labda ni typographical error tu.

Ulivyoandika hivyo mara ya pili nikajua hujui hata spelling za "delegated".
 
Rais, DAS, RAS, mpaka RAStafari.

Wote hawana sheria ya kulazimisha waandishi wa habari wawapelekee CV.

Kama ipo, ilete hapa tuichambue.

Wewe huwezi hata kuandika "delegated".

Unaandika "deligated".

Ulivyoandika hivyo mara ya kwanza nikajua labda ni typographical error tu.

Ulivyoandika hivyo mara ya pili nikajua hujui hata spelling za "delegated".
Sawa!! Ila ujumbe wa nilichokusudia umeupata! Mswada huo ulipopitishwa Bungeni, unadhani nani wangeusimamia??

Umesoma hapo juu ulipitishwa lini? Nani aliusaini?

Au unadhani ni mambo ya vijiwe vya akina Rastafari huko kwenu Matombo-Morogoro?
 
Sawa!! Ila ujumbe wa nilichokusudia umeupata! Mswada huo ulipopitishwa Bungeni, unadhani nani wangeusimamia??

Umesoma hapo juu ulipitishwa lini? Nani aliusaini?

Au unadhani ni mambo ya vijiwe vya akina Rastafari huko kwenu Matombo-Morogoro?
Muswada upi?

Weka sheria inayomrusu DAS kuomba CV za waandishi wa habari hapa.
 
Back
Top Bottom