Acha kuongea ujinga ww punguani. Hivyo vyote vilikua chini hapa kwetu, haya mabadiliko ni ndani ya muda mfupi ndio maana tunalalamika.Lazima pia mtambue kila nchi kuna bidhaa ndio huwa msingi mkubwa wa kodi mbali mbala hutofautiana na nchi na nchi. So kabla hamjaanza kulalamika lazima mjue nchi kama KENYA wao wameimpose kiwango kikubwa cha kodi kwenye Mitandao ya SIMU wakati TZ mitandao ni kiwango kidogo kwenye mafuta kuko juu nk nk
Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.Lazima pia mtambue kila nchi kuna bidhaa ndio huwa msingi mkubwa wa kodi mbali mbala hutofautiana na nchi na nchi. So kabla hamjaanza kulalamika lazima mjue nchi kama KENYA wao wameimpose kiwango kikubwa cha kodi kwenye Mitandao ya SIMU wakati TZ mitandao ni kiwango kidogo kwenye mafuta kuko juu nk nk
Unaonaje tuanze kuagiza huko angola na kenya ili mafuta yawe nafuu?maana hivi vita vya ukraine vinaipiga tanganyika tuMkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Wewe ndio mpumbavuAcha kuongea ujinga ww punguani. Hivyo vyote vilikua chini hapa kwetu, haya mabadiliko ni ndani ya muda mfupi ndio maana tunalalamika.
Zanzibar nao wanachukua kutoka nigeria kupitia angola!? Maana degree zetu za ufugaji nyuki hazijuwi lolote.We kwa akili yako unadhani kila anayeagiza mafuta anachukulia URUSI?? DRC mafuta yao mengi hutoka ANGOLA na NIGERIA kutokana na wako upande mmoja wa bahari ya ATLANTIC, sasa wewe TZ unawezaje kununua mafuta huko??
Lingine nchi zinazopitisha mafuta kutoka bandari ya TZ mafuta yako juu kama nchi zilizo LAND LOCKED kama ZAMBIA, MALAWI.
Kwenya masuala ya uchumi na biashara lazima utumie akili, sio umetoka huko na degree ya ufugaji nyuki unajikuta ww unajua namna gani uchumi unaendeshwa.
Kenye unaona mafuta bei ya chini kwa kuwa ni karibu, hivyo kila unavyosogea ndio gharama huwa kubwa zaidi. Kwa mfano ukitoka Dar nauli ya Moro ni ndogo kuliko IRINGA.
Huwezi pia kuondoa tozo na kodi kwenye mafuta maana tumeiingiza kwenye bajeti kuu ya serikali.
Lawama na kujiona unaweza kuleta mada haikusaidii.
Kwan wanatumia nini instead???Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!
Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?
Tumia akili kufikiri...!
Kwamba Kenya hayajapanda sio?Unaonaje tuanze kuagiza huko angola na kenya ili mafuta yawe nafuu?maana hivi vita vya ukraine vinaipiga tanganyika tu
Acha upumbavu, hiyo sh 100 mlioweka mwaka Jana mwezi wa 7 sio mpya?Wewe ndio mpumbavu
Hakuna kodi mpya kwenye mafuta, zote zilikuwepo, kilichofanya bei ije juu ni kule sokoni.
Kuna mada nyingine sio saizi yenu wala ugoro vijiweni.
Kama huna shule huwezi kuelewa implication ya vita na covid kwenye hili la mafuta.
Kaa kimya tukuamulie kuku wewe
Unajiona una akiiiiiiiili mwenyewee.Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
we mpuuzi kikosi kazi chenu cha kufurahia machungu na mateso wanayopitia wadanganyika kilaaniwe mfe kwa ajali na mpasuke makalio yenu na mafuvu yasagike kabisaKwamba Kenya hayajapanda sio?
Ni bahati mbaya kwamba wapuuzi wengi sampuli ya Wewe mnashinda mitandaoni kufuatilia nani katembea na nani, nani kavaa nguo mpya.
Halafu inapokuja mada serious kama hii na Wewe unajitutumua.
kikosi kazi kinamjibia wako wawili hapakwenye huu uzi wanaji mwambafai vibaya mno kauli za kifedhuuli kuona wanolalamika kama ni wajinga vile sijui hao Angola kenya na zanzibar wanawezaje kuuza kwa bei nafuu hiyo bandari ya kurasini si bora ifungwe tu ina faida gani sasa?Halafu mama yenu ndio anajilinganisha na US?
Hawa chawa wa huyu bibi hawana maana kabisa.kikosi kazi kinamjibia wako wawili hapakwenye huu uzi wanaji mwambafai vibaya mno kauli za kifedhuuli kuona wanolalamika kama ni wajinga vile sijui hao Angola kenya na zanzibar wanawezaje kuuza kwa bei nafuu hiyo bandari ya kurasini si bora ifungwe tu ina faida gani sasa?
[emoji38][emoji13][emoji28][emoji1732][emoji1787][emoji23]we mpuuzi kikosi kazi chenu cha kufurahia machungu na mateso wanayopitia wadanganyika kilaaniwe mfe kwa ajali na mpasuke makalio yenu na mafuvu yasagike kabisa
Nenda kanunue Rwanda....CCM mbere kwa mbereeee!!!Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?
Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana
View attachment 2214602
View attachment 2214603
Kwani mafuta mkulima yanaleta maji?Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!
Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?
Tumia akili kufikiri...!
ccm mbere kwa mbere😁😁Hii nchi ina viongozi wa hovyo sana
Zanzibar ni nchi mzee sio kama unavyofikiri wewe kilaza, mbona HULINGANISHI MISHAHARA YA WATUMISHI WA ZANZIBAR NA YA WA MUUNGANO AU TANZANIA BARA??Zanzibar nao wanachukua kutoka nigeria kupitia angola!? Maana degree zetu za ufugaji nyuki hazijuwi lolote.
Unapotoza kodi lazima uangalie chanzo chenye uhakika hivyo kwetu sisi mafuta ni chanzo cha kodi chenye uhakika ambapo huwezi kukwepa. Ukiweka kwenye internet watu wanaweza achana na matumizi ya Internet au kupunguza kwa maana sio muhimu kwao. So kwa hali hiyo serikali itakosa mapato.Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!
Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?
Tumia akili kufikiri...!