Ninaposoma michango mbali mbali ya wana JF na pia nikisoma magazeti mbali mbali napata kigugumizi kuamini kama Balali kweli amevuta.Lakini kwa upande mmoja nalazimika kuamini japo kiduuchu. Nafikiri ipo haja ya mwanaJF mmoja kulobby ili aweze kuhudhuria mazishi na pengine aweze kuona maiti ya Balali live ili aje hapa jamvini atuhakikishie. mtanisamehe ninakuwa Tomaso katika hili!
Kuna offer ya tiketi kwa anae taka kuhudhuria mazishi yake, Ingependeza iwapo ungeenda huko... "Ni ushauri tu"Balali .... Roast in Pug (RIP)...
tatizo ni nini hasa? amekufa hajaaga au amekufa?
Kuna offer ya tiketi kwa anae taka kuhudhuria mazishi yake, Ingependeza iwapo ungeenda huko... "Ni ushauri tu"
Jamani mbona tunajitia tuna machungu sana na Kifo cha Balali wakati kuna wengine waliosaini nyaraka kama yeye (Mgonja) bado wako hai? Kwa nini nguvu zetu zote tusizisielekeze kwa Mgonja sasa?
Tuanze mapema kuelekeza nguvu zote kabla polonium -210 atakayowekewa haijaanza kuchanganya.
"Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la kwanza kusema hizi habari.
....wakuu hiyo nayo inaniacha hoi.
Taarifa za kifo hapa marekani ni public info!
Na si familia inayotoa habari hizo kama wanavyodai kina Kishoka!
Habari hizo hutolewa na coroner kwenda kwenye magazet and so forth!
Na hao wenye hiyo funeral home nao wasiwasi sana kwasababu hata wao walitakiwa wawe na database yao ili tuweze kusearch watu waliokufa kama vile funeral home nyingine zinavyofanya!
Habari hizi tayari zingeshakuwa public hadi sasa!
Kwanini zinazuiliwa isivyo kawaida?
Hiyo funeral home nayo tutaichunguza tu!
Mushi,
kuna dada na rafiki yangu kutoka Liberia alikufa hapa kwenye state ninayoishi wiki tatu zilizopita anaitwa Fatmatha En-Opong Francis. Hebu tafuta hili jina kwenye state zote za midwest (ninakoishi mimi) uone kama kuna record yoyote.
Nakushauri ufuatilie tena facts za death records ili uone kama ulichosema hapo ni sahihi.