Mwenye kutaka kuserach aendelee kusearch ili tuelimishane kwenye hili!
Ukigonga jina message zao zinakuja!
Utaalam wa kutambua zaidi ya hapo mimi mwananchi wa kawaida si rahisi!
Gonga chini na uendelee kutoa maoni yako.
http://www.zabasearch.com/messages/zaba_messages_thread.php?fid=445680
Mwenye kutaka kuserach aendelee kusearch ili tuelimishane kwenye hili!
Ukigonga jina message zao zinakuja!
Utaalam wa kutambua zaidi ya hapo mimi mwananchi wa kawaida si rahisi!
http://www.zabasearch.com/messages/zaba_messages_thread.php?fid=445680
No nasema kulishawahi kuwa na mawasiliano kati ya hao watu through messages zinazoachwa kwenye web!
Status ya huyo mukonyi inaonekana ni mtu mzito!
Halafu ni messages zinazoonyesha kuficha ficha mawasiliano yao! Lakini web imewaumbua!
Utaalam wa kutambua zaidi ya hapo mimi mwananchi wa kawaida si rahisi!
...Natumaini amekuelewa kwenye hili.
Mwenye kutaka kuserach aendelee kusearch ili tuelimishane kwenye hili!
Ukigonga jina message zao zinakuja!
Utaalam wa kutambua zaidi ya hapo mimi mwananchi wa kawaida si rahisi!
Gonga chini na uendelee kutoa maoni yako.
http://www.zabasearch.com/messages/zaba_messages_thread.php?fid=445680
Mushi hebu soma hii link
http://www.zabasearch.com/messages/zaba_messages_research.php?mquery=Daudi makange
Nimesachi majina ya Daudi Makange na hebu angalia nilichopata.
Taarifa za kifo hapa marekani ni public info!
Na si familia inayotoa habari hizo kama wanavyodai kina Kishoka!
Habari hizo hutolewa na coroner kwenda kwenye magazet and so forth!
Na hao wenye hiyo funeral home nao wasiwasi sana kwasababu hata wao walitakiwa wawe na database yao ili tuweze kusearch watu waliokufa kama vile funeral home nyingine zinavyofanya!
Habari hizi tayari zingeshakuwa public hadi sasa!
Kwanini zinazuiliwa isivyo kawaida?
Hiyo funeral home nayo tutaichunguza tu!
Na ukienda hapo kama vile unataka kuacha ujumbe..Then ni ujumbe kwa Ballali, Kinyaga ama Muthoni!
Nani anajua kama kuna message nyingine ambazo either hazija appear ama zimefutwa?
Hiyo hapo juu ni communication link ya watu watatu
1)Daud T S Ballali
2)Daudi Kinyaga
3)Muthoni Munyi
Mushi hebu soma hii link
http://www.zabasearch.com/messages/zaba_messages_research.php?mquery=Daudi makange
Nimesachi majina ya Daudi Makange na hebu angalia nilichopata.
Wewe ndio umeuliza, ume m-challenge JM, kwa nini asiongee na State Department atuletee habari. Naku address wewe, kwamba yeye hawezi kuongea na State department.
Na miye nimesearch kwa jina la Daudi Mwanakijiji na nimepata hilo hilo ila maajabu yake niliposearch kwa jina la Daudi Mushi... nilichokiona kimenishtua!! Kumbe mwenzetu ndiyo anauhusiano na Ballali kwa sababu nikisearch Daudi Ballali na Daudi Mushi napata matokeo zaidi ya hayo.
Mhh,
Aliyeshika bango kuwa Zitto awaombe State Dept watueleze aliko Balali na mimi nikasema kuwa hiyo si kazi ya State Detp ni mimi tena! Mimi nimempa uji wake aliokoroga aunywe. Yeye amesisitiza kuwa Zitto alitakiwa kuomba hii habari ya Balali kwa state Dept na mimi nikamzuia lakini akazidi kusisitiza so nimempa uji wake mwenyewe aunywe - aende State Dept kuulizia hii habari.
Get it?
Mwafrika wa Kike,
Mimi nimesearch kwa Daudi Mtanzania na nimepata kama ulichopata.
Hapa theory ya Jmushi1 naona imegoma.
Naona kweli...Lakini wakati nikifanya hivyo awali ilikuwa hainipi hivyo..So nakubali inawezekana!
Narudia tena..Haya yanaepukika kama Familia ikielewa umuhimu wa Ballali kwa watanzania!
Mtanzania...
Angalau wakuu kama wewe mkiandika hapa namna hii mambo yanaonekana wazi zaidi na ninaamini Mushi atavuta pumzi kidogo na kufanya the right thing.
Unajua mimi nina hasira na yote aliyofanya Balali na nimeonyesha hasira zangu hapa all the time. Nilichojaribu kujizuia kwenye hili ni kufanya mambo kwa pupa.
Kwa sasa ninawaamini Invisible na Mwanakijiji katika hili mpaka hapo itakapodhihirika vinginevyo.
Asante kwa hili.
Naona kweli...Lakini wakati nikifanya hivyo awali ilikuwa hainipi hivyo..So nakubali inawezekana!
Narudia tena..Haya yanaepukika kama Familia ikielewa umuhimu wa Ballali kwa watanzania!
Naona sasa itabidi uwaombe msamaha hao vijana kwa yote mabaya uliyosema dhidi yao hapa JF. Unaonaje pia kama ukiomba ile thead nyingine uliyoanzisha kuhusu hao vijana ikafungwa kwa sasa?
Naomba unijibu...ZITTO ALIMWAKILISHA NANI KWENYE ZIARA YAKE ALIYOALIKWA NA STATE DEPT??