Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najaribu kufikiria ushahidi wake (mahakamani) "marehemu" ungeiweka wapi CCM na mustakabali na hatima ya Nchi yetu.
Kwanza nalia kwamba, kama habari hii ni ya kweli, basi Balali amekwenda huko kuzimuni na siri yote ya ufisadi wa pesa zetu pale BoT; labda kama aliweza kuandaa dossier ya kina na kuliacha kwa mwanasheria wa kuaminika. Mpakla leo ninaimani kuwa Balali alikuwa ni tundu tu la kupitishia kinyesi kile ingawa kwa hali hiyo alikuwa anabaki na mopako wa kinyesi na haikuwa rahisi kwake kujichamba katika mazingira hayo. Najua kuwa kifo cha Balali kitapokewa kwa furaha na vigogo wengi ndani ya mfumo wa utawala wa nchi yetu.
Kinachonishangaza ni huu utabiri wa Mwanakijiji hapa JF:
Kuelekea Summer ya Mwaka jana alitabiri jambo baya kuhusu marehemu AC hapa JF nalo likatokea. Kuelekea Summer ya Mwaka huu akatabiri jambo baya kuhusu huyu bwana Balali ambalo nalo linaelekea kuwa limetokea. Nitafurahi sana kama kuelekea summer ya mwaka kesho Mwanakijiji atatabiri jambo baya kuhusu mafisadi wote wa Tanzania, na litokee .
Mkuu nani amekwambia mstakabali wa nchi hii na amani iliyopo ni CCM? Sio kweli mbona mnadanganywa na manakubali tu? Mstakabali wa nchi hii ni wananchi na kama wananchi tukikataa kupigana hakuna atakaye aanza kumpiga mwenzake, si unaona Zim watu wameamua kuwa kimya wanasubiri awamu ya Pili, ni chama tawala ndio kinapiga na kuua watu, huko kenya watu waliamua kuchukua hatua. Kwa hiyo hata sisi hapa Bongo tukiamua kuwa kimya kutochukua marungu na mapanga tunaweza na wala sio CCM. Jamaani hii notion ya CCM ndio amani na Bila CCM hakuna amani ndiyo imetufikisha hapa, na sasa akina Balali wanakuwa Kondoo wa sadaka kutokana na mfumo wa kifisadi uliojengwa na nyie mnaosema bila hawa watu hakuna Amani.
Damn, this is shocking!!!!
naenda kulala poleni.... ila kumbukeni "nyie tuzugeni tu, mtaona maajabu"..! You made your move others are contemplating theirs... and somebody will be checked soon! adios
basi kazi ipo,amekolimbwa au wamemditto ?
yategemea kama mara zote mbili alikufa kweli.
Mkuu, kuna zaidi usiyoyajua kuhusu hili. Mpe heshima yake marehemu na kama ni kuwambia watanzania NAKUHAKIKISHIA kawambia... Ni suala la muda tu!
YES, nakwambia,,, alisema. Kwa maandishi? Sijui!