Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.

Sign In to Intelius | Manage Account
Help: (888) 445-2727 | View My Reports

Return to Home


Data zote nendeni intelius! Inalipa!



clear-pix.gif
Get More Information on Daudi Ballali in Bethesda, MD
background checkphone searchCriminal CheckDaudi Ballali is 65 years old.Previous Locations for Daudi Ballali:1 in Philadelphia, PA
1 in Rockville, MD
1 in Silver Spring, MD
1 in Washington, DC
1 in Potomac, MD
1 more location in 1 other city...
Relatives of Daudi Ballali:Elizabeth Ballali
Rachel Ballali
Albina Ballali
 

Sign In to Intelius | Manage Account
Help: (888) 445-2727 | View My Reports

Return to Home


Data zote nendeni intelius! Inalipa!



clear-pix.gif
Get More Information on Daudi Ballali in Bethesda, MD
background checkphone searchCriminal CheckDaudi Ballali is 65 years old.Previous Locations for Daudi Ballali:1 in Philadelphia, PA
1 in Rockville, MD
1 in Silver Spring, MD
1 in Washington, DC
1 in Potomac, MD
1 more location in 1 other city...
Relatives of Daudi Ballali:Elizabeth Ballali
Rachel Ballali
Albina Ballali

Kati ya states zote hapo juu hakuna hata moja iliyolist kifo chake!
 
Halafu hiyo funeral home waliyotumia nayo maruwe ruwe sana!
Haina dataz kama ilivyozoeleka kwa kawaida hapa marekani!
 
Kati ya state zote ambazo Balali amewahi kuishi ama ana ndugu ama nyumba..Hakuna rekodi ya kifo chake!
Wamarekani watupe majibu kwasababu mtu akifa hiyo ni public record!

Mushi katika bio yake mbona hukuweka ya UFISADI kuanzia 1998 mpaka January 2008? Kumbuka wizi wa $133 ni mwaka mmoja tu, wakiamua kuanza kupitia makabrasha kuanzia 1998 basi si ajabu wameiba trilioni.
 
jmushi

nacheka sana nikisoma post zako mshikaji,manake hutoi nafasi kwa watu wengine kujibu,unauliza then hata hujajibiwa umesharukia suali jengine.hebu nenda taratibu ndugu.
jengine nimekusoma kuwa mtu unapenda kila mtu akubaliane na mtazamo wako sijui kwa nini ndugu.
any way hongera kufikisha post 1600.
 
nimegoogle hii

On 01-23-06, at 2:00 a.m., Rachel Ballali, age26, of Philadelphia was arrested and charged with 1st degree assault and malicious destruction of property. The arrest was a result a domestic dispute with a family member on Fernwood Rd. in Bethesda that had just occurred.
 
Kutokana na uchunguzi wangu unaoendelea..Nimekutana na jina Daudi Kinyaga!
Nimeanzisha thread ya hilo jina huku bado nakusanya data!
 
Wa ndugu.. subject ni Daud Ballali.. haya ya kwenda kuingilia privacy za watu is simply wrong. Searchini habari za watoto na familia yake lakini zishikilieni nyinyi wenyewe sidhani kama mnafanya sawa kuanza kuleta habari za watu ambao siyo public figures.
 
tatizo ni nini hasa? amekufa hajaaga au amekufa?

Mwanakijiji bado tunaendelea kuchanganyikiwa lakini tunategemea kuwa serikali itatusaidia kwenye hili la sivyo inabidi baada ya matanga tuendelee na uchunguzi tu!
 
tatizo ni nini hasa? amekufa hajaaga au amekufa?


Huyu bwana si anafanya uchunguzi wake mbona ni jambo zuri tu tena anahitaji support.Mtu akifa kunakuwa na data zake kwenye state anayoishi.Mimi nachodhani tusije zika mtu mwingine kwenye huku mdomoni tukaambiwa ni fulani(balali).

Ila reality never change kama kafa kafa kama hajafa hajafa.
 
Naona tatizo kubwa ni kuwa watu hawataki kuamini kuwa kafa; hiyo conspiracy ya familia, serikali, hospitali, kanisa, makaburi n.k ni conspiracy ambayo kwa mara ya kwanza inaweza kuonesha kuwa finally Tanzania tumeweza kufanya kitu kimoja kwa ufanisi, ufundi, na umahiri mkubwa. Vinginevyo, the simpliest answer is the right one. He is dead.. or is he?
 
Jamani kwani muheshimiwa alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani? Nimeona sources nyingi zinasema alikuwa anasumbuliwa kwa muda mrefu. Jee ni nini cha muda mrefu? Shinikizo la damu? Sukari? Ni nini?

I need majibu for reference purposes.
 
Mwanakijiji,

Zealotry yetu itakuwa ndiyo downfall yetu. Kifo ni kitu cha familia, na kama jamaa walishasema ni suala la familia, bai tuliheshimu.

Sasa hasira yetu kuhusiana na EPA isiishie kwa Ballali tuu, mbona hatujataka kichwa cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, waliokuwa kwenye bodi, wanaosadikika kurudisha pesa, aliyekuwa Raisi na kuruhusu malipo makubwa kiasi hicho na wengine wengi?

we really need to tone it dwon especially huu ung'ang'anizi kuwa ni lazima tupate majibu. Je tutapata majibu gani kutoka kwa mtu mfu? kwa nini tusiende kwa wale waliobakia ambao ni hai na kuwahoji? kama ni mob justice, si basi tugeuze nguvu zetu na kuwashika koo wale wanaotuhumiwa kuhusika?

I am sad he is dead, I am dissapointed that he did not come out and told us the truth, amekufa na siri kubwa moyoni. Let him go in peace!
 
Mwanakijiji bado tunaendelea kuchanganyikiwa lakini tunategemea kuwa serikali itatusaidia kwenye hili la sivyo inabidi baada ya matanga tuendelee na uchunguzi tu!

Uchunguzi gani? Center point imepotea, huwezi kusolve puzzle hata siku mmoja wakati huna center.

EPA ni historia tutawafunza watoto wetu na vizazi vijavyo.
 
Members samahani jamani.
Hivi kuna jinsi ambavyo tutawaelimisha wachache wetu humu ndani ambao wanaongeza ukubwa wa Thread tu kwa post zenye maswali tu na downloded documents ambazo kwa namna moja au nyingine hazitoi msaada wowote?
Tunapoingia JF na kukuta page zimefika 54 wakati tulipoenda kulala tuliacha 23 tunahisi kuwa kuna kipya kitu cha kutuwezesha kufahamu zaidi kuhusu suala hili.
Kwa ushauri tu,kama huna acess ya kukusanya data valid ni bora ukae pembeni kama sisi wengine tuliopata priveldge ya kuwa wasomaji
Natumai sijamkwaza yeyote kwa haka kaushauri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom