David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

Waheshimiwa wabunge wameguswa sana mpaka wengine wameshindwa kuficha hisia zao za upendo kwa Mheshimiwa Kafulila.nakujikuta wakipiga makofi kwa hisia kali sana huku macho yao yakiwa ni kama yanataka kutokwa na Machozi
Ila we jamaa unafurahisha na kusikitisha kwa wakati mmoja, nitakuvizia mpaka nikuone ana kwa ana tupige japo story tu. Yaani kuna wakati unakera alafu unachekesha, hujui kupanic kabisa pamoja na maneno makali unayoporomeshewa kila kukicha.
 
Ila we jamaa unafurahisha na kusikitisha kwa wakati mmoja, nitakuvizia mpaka nikuone ana kwa ana tupige japo story tu. Yaani kuna wakati unakera alafu unachekesha, hujui kupanic kabisa pamoja na maneno makali unayoporomeshewa kila kukicha.
Sina sababu ya kupaniki.ila wale ambao ukweli unawauma na kuwachoma ,ndio ambao wanapaniki sana na kuporomosha matusi.
 
Amelitetemesha bunge kiboyo la majizi ya kura!
Naona umechanganyikiwa sana ulipoona kishindo cha makofi ya waheshimiwa wabunge wakimpatia Mheshimiwa Kafulila,kama sehemu ya kuhitaji sauti yake ndani ya Bunge hapo Mwakani
 
Ni shangwe za kusanifu baada ya kumgongea mke wake mpk wakaachanishwa.
 
Kwa hiyo wewe jamaa kazi yako ni kusifiasifia tu wanasisiemu mbalimbali.
Angalau na siku moja msifie baba au mama yako kwa kukuzaa.
Unaonekana una mtindio wa ubongo wewe shoga
Nakusamehe sana maana naona umepaniki na kupata presha ya kuona kishindo cha Chuma Kafulila
 
Ni shangwe za kusanifu baada ya kumgongea mke wake mpk wakaachanishwa.
Wewe mwaka huu utakufa na wivu na chuki zako binafsi . Mheshimiwa Kafulila Anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania na kuendelea kukubalika sana.na panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu tunategemea kumuona Bungeni hapo Mwakani.
 
Ni kwa kuwa kila uchwao Rais wetu Anaendelea kuungwa mkono,kupendwa na kukubalika sana na mamilioni ya watanzania
Nani anaukata mkono wa rais mpk uungwe kila uchwao? Hajiamini huyu chura, ndiyo maana kila katukio anapita nako.
 
Naona umechanganyikiwa sana ulipoona kishindo cha makofi ya waheshimiwa wabunge wakimpatia Mheshimiwa Kafulila,kama sehemu ya kuhitaji sauti yake ndani ya Bunge hapo Mwakani
Nimechanganyikiwa kuona makofi? Toka lini nikaangalia hilo bunge la majizi ya kura? Au unadhani Kila mtu anaona kuwepo hapo bungeni ni bonge la fahari?
 
Lile sio bunge ni tawi la chama cha mambuzi πŸ˜‚πŸ˜‚,sio mm lkn niliewaita hivyo ni balozi wa China
 
Wewe ni mtanzania mjinga kuliko wote. Tambua hivyo na Watanzania watambue hivyo. Huwezi kutwa nzima unasifia matapeli . Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Uoaneni walinda legacy πŸ†š chawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…