David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

Hii nchi inawatu wengi ambayo wanaangukia kwenye kundi la akili za Mental Retarded people!! yaani IQ ni below 70.
Hawa uwezo wao mkubwa ni katika kusifu watu,kiherehere na kujipendekeza...
And this is according to research
 
Kafulila ni man of the people. Kule simiyu kaacha alama tofauti na kwingine ktk kanda ya ziwa ni yeye pekee alikomaa na kampuni za pamba mpk bei ikapanda kutoka tzs 890 - 2200.

Tunamwombeaa sana!
 
Lucas una majibuuu😂
Saizi nimewawekea hadi video ili kila mtu achague cha kuangalia kulingana na uwezo wake.kati ya video au kusoma kuishia aya za mwanzo au afike mwisho kupata utamu wote.
 
Kafulila ni man of the people. Kule simiyu kaacha alama tofauti na kwingine ktk kanda ya ziwa ni yeye pekee alikomaa na kampuni za pamba mpk bei ikapanda kutoka tzs 890 - 2200.

Tunamwombeaa sana!
Kwa hakika tuendelee kumuombea na kumuunga mkono sana.maana ni jembe kwelikweli
 
Hii nchi inawatu wengi ambayo wanaangukia kwenye kundi la akili za Mental Retarded people!! yaani IQ ni below 70.
Hawa uwezo wao mkubwa ni katika kusifu watu,kiherehere na kujipendekeza...
And this is according to research
Mwenye uwezo acha asifiwe tu na kupongezwa.wewe kama uwezo wako mdogo utaendelea kuumia tu unapoona wenzako wanapata sifa bure kabisa bila kuwalipa watu.
 
Ni uzalendo mkubwa sana na jambo jema sana kuwapongeza,kuwatia moyo na kutambua michango yao viongozi wazalendo aina ya Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan pamoja na Mheshimiwa. Najuwa watu aina yako hampendi tuwataje kwa kuwa mioyo inawauma sana.
Hapana, Mimi huwa siumii kwa vitu kama hivyo ,
Pia huwa namkubali mhe Kafulila 🤠
 
Kafulila ni man of the people. Kule simiyu kaacha alama tofauti na kwingine ktk kanda ya ziwa ni yeye pekee alikomaa na kampuni za pamba mpk bei ikapanda kutoka tzs 890 - 2200.

Tunamwombeaa sana!
Sasa kwa nini aliondolewa kule Simiyu ????
Labda kwa kuwa mabepari ya kununua Pamba yalikuwa hayamtaki kwa sababu ya kuhere here chake cha kuwatetea wakulima wa Pamba ????!!!
Au ??😳🙄🙄

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni !
 
Sasa kwa nini aliondolewa kule Simiyu ????
Labda kwa kuwa mabepari ya kununua Pamba yalikuwa hayamtaki kwa sababu ya kuhere here chake cha kuwatetea wakulima wa Pamba ????!!!
Au ??😳🙄🙄

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni !
Mkuu kule ni Kosovo, huoni kilichompata RC Nawanda? Zengwe zipo balaa. Unakuta mbunge ndo mwenye kampuni ya ununuzi wa Pamba. Hapo utakaa masaa ukiwa tofauti nae
 
Mkuu kule ni Kosovo, huoni kilichompata RC Nawanda? Zengwe zipo balaa. Unakuta mbunge ndo mwenye kampuni ya ununuzi wa Pamba. Hapo utakaa masaa ukiwa tofauti nae
Ndicho nilichokuwa nataka kukijua ili nijue kumbe watu wengi wanajua hilo, kwamba influence ina nguvu kuliko uchapa kazi wa mtu 😳🙄
 
Wewe ni mtanzania mjinga kuliko wote. Tambua hivyo na Watanzania watambue hivyo. Huwezi kutwa nzima unasifia matapeli . Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Jamaa halina akili kabisa inaonekana kinyeo chake kimeshazoea kushughulikiwa na kina dr nawanda
 
Jamaa halina akili kabisa inaonekana kinyeo chake kimeshazoea kushughulikiwa na kina dr nawanda
Matusi ni dalili ya kuishiwa hoja na kuzidiwa maumivu makali ya 🔨 .naona umeumia sana ulipoona Mheshimiwa Kafulila akishangiliwa kwa nguvu kubwa na waheshimiwa wabunge.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa David Kafulila Ameamsha hisia, kuwagusa waheshimiwa wabunge na kuwarejesha mbali sana kihisia. Chuma Kafulila kaliteka Bunge, kalitetemesha na kalitikisa kwelikweli. Hii ni baada ya kutambulishwa Bungeni kama Mkurugenzi wa PPP na Mheshimiwa Speaker Dkt Tulia Acksoni Mwansasu.

Ambapo Bunge zima na wabunge wote na kwa Umoja wao wamempatia heshima kubwa na ya kipekee sana utafikiri utambulisho wa Mfalme wa Uingereza ndani ya Bunge. Ambapo imeshuhudiwa meza zoootee za waheshimiwa Wabunge zikilindima kwa kishindoo cha makofi ya kumpigia na kumpatia heshima ya kipekee Mheshimiwa Kafulila.

Bila shaka waheshimiwa wabunge wote bado wana kumbukumbu vichwani mwao juu ya alama alizoziacha za kizalendo, alizoziacha mzalendo huyu na mchapakazi aliyetukuka wakati wa ubunge wake 2010-2015.ambapo ni yeye amewahi kuweka historia ya kulifanya Bunge likafanya na kuendelea na shughuli zake mpaka saa Tano usiku katika Historia ya Bunge letu wakati wa sakata la Escrow.

Imeonyesha bunge zima na waheshimiwa wabunge wote wana kiu kubwa sana na kumhitaji Mheshimiwa Kafulila ndani ya Bunge, wanatambua uwezo wake, mchango wake na sauti yake kuwa bado inahitajika sana Bungeni wanaona ni kama kuna kitu kimepungua Bungeni kwa kutokuwepo kwa Mwamba huyu wa kigoma David Kafulila.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuwa mtu huyu asiye na makandokando, Mzalendo wa dhati, mpole, mtulivu, makini, jasiri, shupavu, hodari, Madhubuti, imara, mnyenyekevu na mwenye misimamo ya dhati katika kutetea Taifa letu bado mchango wake unahitajika ndani ya Bunge letu.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuna kazi Mheshimiwa Kafulila anatakiwa akasaidiane nao ndani ya Bunge ndio sababu ya heshima kubwa walioweza kumpatia,ndio sababu ya mapokezi mazito walioweza mpatia,ndio sababu ya kuguswa kwa wabunge wengi baada ya utambulisho wake, ndio sababu ya kumshangilia na kumpigia makofi bila kukoma ,ndio sababu ya kumheshimisha na kumpa thamani yake.

Waheshimiwa wabunge waliokuwepo na ambao hawakuwepo wakati wa sakata la Escrow wanakumbuka na wanakumbukunbu nzuri juu ya kazi kubwa, ya kishujaa na kizalendo kwa Taifa letu iliyofanywa na mheshimiwa David Kafulila aliyekuwa amejitolea maisha yake kupigania Taifa letu bila kujali vitisho kutoka kwa mtu yeyote yule.

Waheshimiwa wabunge wametuma kwa Vitendo ujumbe mzito sana juu ya Hazina hii kwa Taifa letu kuwa Bado sauti ya Mheshimiwa David Kafulila inahitajika sana Bungeni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View attachment 3017339

Naona majengo ya bunge yanatetemeka
 
Matusi ni dalili ya kuishiwa hoja na kuzidiwa maumivu makali ya 🔨 .naona umeumia sana ulipoona Mheshimiwa Kafulila akishangiliwa kwa nguvu kubwa na waheshimiwa wabunge.

Kwa hiyo wewe jamaa kazi yako ni kusifiasifia tu wanasisiemu mbalimbali.
Angalau na siku moja msifie baba au mama yako kwa kukuzaa.
Unaonekana una mtindio wa ubongo wewe shoga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa David Kafulila Ameamsha hisia, kuwagusa waheshimiwa wabunge na kuwarejesha mbali sana kihisia. Chuma Kafulila kaliteka Bunge, kalitetemesha na kalitikisa kwelikweli. Hii ni baada ya kutambulishwa Bungeni kama Mkurugenzi wa PPP na Mheshimiwa Speaker Dkt Tulia Acksoni Mwansasu.

Ambapo Bunge zima na wabunge wote na kwa Umoja wao wamempatia heshima kubwa na ya kipekee sana utafikiri utambulisho wa Mfalme wa Uingereza ndani ya Bunge. Ambapo imeshuhudiwa meza zoootee za waheshimiwa Wabunge zikilindima kwa kishindoo cha makofi ya kumpigia na kumpatia heshima ya kipekee Mheshimiwa Kafulila.

Bila shaka waheshimiwa wabunge wote bado wana kumbukumbu vichwani mwao juu ya alama alizoziacha za kizalendo, alizoziacha mzalendo huyu na mchapakazi aliyetukuka wakati wa ubunge wake 2010-2015.ambapo ni yeye amewahi kuweka historia ya kulifanya Bunge likafanya na kuendelea na shughuli zake mpaka saa Tano usiku katika Historia ya Bunge letu wakati wa sakata la Escrow.

Imeonyesha bunge zima na waheshimiwa wabunge wote wana kiu kubwa sana na kumhitaji Mheshimiwa Kafulila ndani ya Bunge, wanatambua uwezo wake, mchango wake na sauti yake kuwa bado inahitajika sana Bungeni wanaona ni kama kuna kitu kimepungua Bungeni kwa kutokuwepo kwa Mwamba huyu wa kigoma David Kafulila.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuwa mtu huyu asiye na makandokando, Mzalendo wa dhati, mpole, mtulivu, makini, jasiri, shupavu, hodari, Madhubuti, imara, mnyenyekevu na mwenye misimamo ya dhati katika kutetea Taifa letu bado mchango wake unahitajika ndani ya Bunge letu.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuna kazi Mheshimiwa Kafulila anatakiwa akasaidiane nao ndani ya Bunge ndio sababu ya heshima kubwa walioweza kumpatia,ndio sababu ya mapokezi mazito walioweza mpatia,ndio sababu ya kuguswa kwa wabunge wengi baada ya utambulisho wake, ndio sababu ya kumshangilia na kumpigia makofi bila kukoma ,ndio sababu ya kumheshimisha na kumpa thamani yake.

Waheshimiwa wabunge waliokuwepo na ambao hawakuwepo wakati wa sakata la Escrow wanakumbuka na wanakumbukunbu nzuri juu ya kazi kubwa, ya kishujaa na kizalendo kwa Taifa letu iliyofanywa na mheshimiwa David Kafulila aliyekuwa amejitolea maisha yake kupigania Taifa letu bila kujali vitisho kutoka kwa mtu yeyote yule.

Waheshimiwa wabunge wametuma kwa Vitendo ujumbe mzito sana juu ya Hazina hii kwa Taifa letu kuwa Bado sauti ya Mheshimiwa David Kafulila inahitajika sana Bungeni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View attachment 3017339
Amelitetemesha bunge kiboyo la majizi ya kura!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa David Kafulila Ameamsha hisia, kuwagusa waheshimiwa wabunge na kuwarejesha mbali sana kihisia. Chuma Kafulila kaliteka Bunge, kalitetemesha na kalitikisa kwelikweli. Hii ni baada ya kutambulishwa Bungeni kama Mkurugenzi wa PPP na Mheshimiwa Speaker Dkt Tulia Acksoni Mwansasu.

Ambapo Bunge zima na wabunge wote na kwa Umoja wao wamempatia heshima kubwa na ya kipekee sana utafikiri utambulisho wa Mfalme wa Uingereza ndani ya Bunge. Ambapo imeshuhudiwa meza zoootee za waheshimiwa Wabunge zikilindima kwa kishindoo cha makofi ya kumpigia na kumpatia heshima ya kipekee Mheshimiwa Kafulila.

Bila shaka waheshimiwa wabunge wote bado wana kumbukumbu vichwani mwao juu ya alama alizoziacha za kizalendo, alizoziacha mzalendo huyu na mchapakazi aliyetukuka wakati wa ubunge wake 2010-2015.ambapo ni yeye amewahi kuweka historia ya kulifanya Bunge likafanya na kuendelea na shughuli zake mpaka saa Tano usiku katika Historia ya Bunge letu wakati wa sakata la Escrow.

Imeonyesha bunge zima na waheshimiwa wabunge wote wana kiu kubwa sana na kumhitaji Mheshimiwa Kafulila ndani ya Bunge, wanatambua uwezo wake, mchango wake na sauti yake kuwa bado inahitajika sana Bungeni wanaona ni kama kuna kitu kimepungua Bungeni kwa kutokuwepo kwa Mwamba huyu wa kigoma David Kafulila.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuwa mtu huyu asiye na makandokando, Mzalendo wa dhati, mpole, mtulivu, makini, jasiri, shupavu, hodari, Madhubuti, imara, mnyenyekevu na mwenye misimamo ya dhati katika kutetea Taifa letu bado mchango wake unahitajika ndani ya Bunge letu.

Waheshimiwa wabunge wanaona kuna kazi Mheshimiwa Kafulila anatakiwa akasaidiane nao ndani ya Bunge ndio sababu ya heshima kubwa walioweza kumpatia,ndio sababu ya mapokezi mazito walioweza mpatia,ndio sababu ya kuguswa kwa wabunge wengi baada ya utambulisho wake, ndio sababu ya kumshangilia na kumpigia makofi bila kukoma ,ndio sababu ya kumheshimisha na kumpa thamani yake.

Waheshimiwa wabunge waliokuwepo na ambao hawakuwepo wakati wa sakata la Escrow wanakumbuka na wanakumbukunbu nzuri juu ya kazi kubwa, ya kishujaa na kizalendo kwa Taifa letu iliyofanywa na mheshimiwa David Kafulila aliyekuwa amejitolea maisha yake kupigania Taifa letu bila kujali vitisho kutoka kwa mtu yeyote yule.

Waheshimiwa wabunge wametuma kwa Vitendo ujumbe mzito sana juu ya Hazina hii kwa Taifa letu kuwa Bado sauti ya Mheshimiwa David Kafulila inahitajika sana Bungeni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

View attachment 3017339
Hivi Kafulila kesharudiana na Mkewe?? Kama bado, nakutahadharisha Mr Lucas, punguza papala!! Ohoooo
 
Back
Top Bottom