Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Na nani analipa certificates, nani anakagua kazi nani ana audit discrepancies za malipo; kama mkandarasi ana deal na donors,Ni Mkopo ila haujapitia hazina ila imepita kwa Mkandarasi moja kwa moja
UWT nyie ni matapeli haswa, wewe unashirikiana na Kafulila kula rushwaWewe dada kuwa makini unaweza kufuatilia hii ID vizuri sio kukenua tu hapa, Kafulila anahoja lazima tuseme ukweli,
Kafulila anakataa upotoshaji na Uongo kama huu wa Mpina
Kafulila ni mtu anachukia rushwa sana hawezi kuitetea ila pia hataki mtu aonewe.
Mimi ni CHADEMA damu ila Kafulila namkubali sana
SureRubbish...kajipange tena na huyo Kafulila wako! Watanzania si mataahira. kama wewe !
Nani kasema Wizara haijui wewe box ???!!How stupid are you?
Go google majukumu ya DMO na kwanini kila wizara ya fedha duniani ina hiko kitengo duniani hata kwa nchi zilizoendelea.
Yaani uingize hela nchini, ziwe kwenye hesabu za deni la deni la taifa wizara aijui.
You must be very stupid
Majinga haya yana misafara mikubwa kuliko hata ya Trump halafu yanaenda kuomba misaada. Trump anataka kila mtu awe na akili timamu na afanye kazi, Marekani wawe wanajinyima ajili ya majitu majinga ambao yamepewa kila kitu na MUNGU lakini hayana akili.Trump endelea kupiga spana mijitu ya africa kijinga sana
Lete hoja acha kuzungusha sketiRubbish...kajipange tena na huyo Kafulila wako! Watanzania si mataahira. kama wewe !
Hao ni UWT kazi yao kubwa ni kukata viuno wapate uteuziHow stupid are you?
Go google majukumu ya DMO na kwanini kila wizara ya fedha duniani ina hiko kitengo duniani hata kwa nchi zilizoendelea.
Yaani uingize hela nchini, ziwe kwenye hesabu za deni la deni la taifa wizara aijui.
You must be very stupid
Tanzania inajitosheleza kibajeti so kuwa na amani na ARVs zako utazipa Bure kabisa,Majinga haya yana misafara mikubwa kuliko hata ya Trump halafu yanaenda kuomba misaada. Trump anataka kila mtu awe na akili timamu na afanye kazi, Marekani wawe wanajinyima ajili ya majitu majinga ambao yamepewa kila kitu na MUNGU lakini hayana akili.
Let's hoja acha kuzungusha sketi ya BAWACHAHao ni UWT kazi yao kubwa ni kukata viuno wapate uteuzi
Futa ujinga wako, mbona sahivi mnalalamika kama mnajitosheleza?Tanzania inajitosheleza kibajeti so kuwa na amani na ARVs zako utazipa Bure kabisa,
#SAMIA MITANO TENA
UWT sahivi mnavizia kampeni JulyLet's hoja acha kuzungusha sketi ya BAWACHA
Wapi CCM imelalamika kama sio nyie BAWACHAFuta ujinga wako, mbona sahivi mnalalamika kama mnajitosheleza?
Lete hoja wewe Sharifa Wa BAWACHA acha kuzungusha sketiUWT sahivi mnavizia kampeni July
UWT kazi yenu kubwa ni kusikilizia teuziWapi CCM imelalamika kama sio nyie BAWACHA
Kuna hoja gani umeandika wewe UWT?Lete hoja wewe Sharifa Wa BAWACHA acha kuzungusha sketi
Huo ndio utaratibu?Huyu jamaa ni taahira kuna hela ya mkopo inaweza kuingizwa serikalini bila ya kuwa registered kwenye ‘debt management office’ (DMO) iliyo wizara ya fedha.
Na kuna mkopo unaoweza ingia nchini wenye dhamana ya serikali bila ya idhini ya waziri wa fedha.
Utaahira wa huyu jamaa is beyond me, kutwa kujianzishia mada humu; na ma ID yake kujisifia ujinga wakati kichwani ni kiazi.
Hajui hata how government works ukimsikiliza ni ujinga mtupu; sema ndio hivyo tena uchawa unalipa hata kwa vichwa viazi kama Kafulila (just rubbish).
Kwenye kichwa chake kaandika vitu vya maana, wakati hajui hata taratibu za kurekodi madeni serikalini.
Haswaa!Atutajie hao wahisani
Miradi waliyofadhili na kiasi cha pesa walichotoa
Jibu jepesi sana kwa magnitude ya figure;Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo