David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

Ni Mkopo ila haujapitia hazina ila imepita kwa Mkandarasi moja kwa moja
Na nani analipa certificates, nani anakagua kazi nani ana audit discrepancies za malipo; kama mkandarasi ana deal na donors,

How is that is even possible in practice.

Kiwango chako cha ujinga kinakutosha wewe mwenyewe, please spare us your nonsense.
 
UWT nyie ni matapeli haswa, wewe unashirikiana na Kafulila kula rushwa
 
Nani kasema Wizara haijui wewe box ???!!
Rudia kusoma hayo majibu ya Kafulila utaelewa ,


Hoja hapa ni TZS 7T haziku-hit kwenye akaunti ya hazina ila zimefanya matumizi kama kawaida
 
Tanzania inajitosheleza kibajeti so kuwa na amani na ARVs zako utazipa Bure kabisa,


#SAMIA MITANO TENA
 
Huo ndio utaratibu?
 
Jibu jepesi sana kwa magnitude ya figure;
Nilidhani alitakiwa aje na analysis ya Donor, miradi iliyochangiwa, Amount of fund disbursed, Beneficiaries Account...maana hapa kutupa jibu la Jumla Jumla haiko sawa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…