David Kafulila: Kwa mujibu wa Moody's na FITCH Tanzania inaongoza kwa afya bora ya Uchumi Ukanda mzima wa Africa Mashariki

David Kafulila: Kwa mujibu wa Moody's na FITCH Tanzania inaongoza kwa afya bora ya Uchumi Ukanda mzima wa Africa Mashariki

View attachment 3244035

David Kafulila kupitia kituo cha Runinga Cha ITV ametoa taarifa hii muhimu sana kwa Taifa ya kwamba Tanzania ya Samia ndio nchi inayoongoza kwa ukuaji wa Uchumi Ukanda mzima wa Africa nzima ya Mashariki.


"Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa - TanzaniaInvest" Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa

Mkurugenzi huyo anasema Kenya inaongoza kwa uchumi mkubwa lakini Moody's na Fitch wataalamu nguli wa kufanya utafiti wa mambo ni ya Uchumi na Fedha na wanaoheshimika zaidi Dunia in kwa kazi hiyo wanaitaja Tanzania ya Samia kama nchi pekee ambayo Uchumi wake Unaafanya bora na hivyo kuufanya ukue vizuri na kwa Kasi.

Ifahamike Moody's na FITCH sio wanaCCM eti kwamba watampendelea Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na kuwaacha Marais wengine.

#Kazi iendelee


===
View attachment 3243868




==
Asante sana Mama Samia
 
M
View attachment 3244035

David Kafulila kupitia kituo cha Runinga Cha ITV ametoa taarifa hii muhimu sana kwa Taifa ya kwamba Tanzania ya Samia ndio nchi inayoongoza kwa ukuaji wa Uchumi Ukanda mzima wa Africa nzima ya Mashariki.


"Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa - TanzaniaInvest" Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa

Mkurugenzi huyo anasema Kenya inaongoza kwa uchumi mkubwa lakini Moody's na Fitch wataalamu nguli wa kufanya utafiti wa mambo ni ya Uchumi na Fedha na wanaoheshimika zaidi Dunia in kwa kazi hiyo wanaitaja Tanzania ya Samia kama nchi pekee ambayo Uchumi wake Unaafanya bora na hivyo kuufanya ukue vizuri na kwa Kasi.

Ifahamike Moody's na FITCH sio wanaCCM eti kwamba watampendelea Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na kuwaacha Marais wengine.

#Kazi iendelee


===
View attachment 3243868




==
Mhe. Tumbili kwa hili promo, Mama akutayarishie kiti cha uwaziri mkuu kabisaa
 
Hata hivyo ukifuatilia vizuri Watanzania asili kabisa ni wagogo tu
Ivory Coast kuna watu wanafanana na hawa wagogo wa bongo na wanaweka ndonya usoni.

Wazungu walituwekea mipaka ili watutawale vizuri hawakujali kuwa kwa kufanya vile waliuvunja kabisa umoja wetu wa asili.

Tambwe yupo Kinshasa na yupo Tabora.

Mwenda yupo Johanesburg, Lusaka, Singida na Manyara.

Kasambula yupo Lubumbashi, Kisangani na Masasi.

Lengo la mzungu kutuwekea mipaka ya bandia lilitimia na mpaka leo madhara yake ni huu ubaguzi wa mwafrika dhidi ya mwafrika mwenzake.
 
Ivory Coast kuna watu wanafanana na hawa wagogo wa bongo na wanaweka ndonya usoni.

Wazungu walituwekea mipaka ili watutawale vizuri hawakujali kuwa kwa kufanya vile waliuvunja kabisa umoja wetu wa asili.

Tambwe yupo Kinshasa na yupo Tabora.

Mwenda yupo Johanesburg, Lusaka, Singida na Manyara.

Kasambula yupo Lubumbashi, Kisangani na Masasi.

Lengo la mzungu kutuwekea mipaka ya bandia lilitimia na mpaka leo madhara yake ni huu ubaguzi wa mwafrika dhidi ya mwafrika mwenzake.
Kwahiyo wagogo origin yake ni Ivory coast?
 
View attachment 3244035

David Kafulila kupitia kituo cha Runinga Cha ITV ametoa taarifa hii muhimu sana kwa Taifa ya kwamba Tanzania ya Samia ndio nchi inayoongoza kwa ukuaji wa Uchumi Ukanda mzima wa Africa nzima ya Mashariki.


"Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa - TanzaniaInvest" Moody's Confirms Tanzania's B1 Credit Rating: Top in East Africa

Mkurugenzi huyo anasema Kenya inaongoza kwa uchumi mkubwa lakini Moody's na Fitch wataalamu nguli wa kufanya utafiti wa mambo ni ya Uchumi na Fedha na wanaoheshimika zaidi Dunia in kwa kazi hiyo wanaitaja Tanzania ya Samia kama nchi pekee ambayo Uchumi wake Unaafanya bora na hivyo kuufanya ukue vizuri na kwa Kasi.

Ifahamike Moody's na FITCH sio wanaCCM eti kwamba watampendelea Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na kuwaacha Marais wengine.

#Kazi iendelee


===
View attachment 3243868




==
Tunawazidi majirani lakini B1 sio rating ya kujivunia.
B1 inaashiria kwamba mkopaji anaweza kuwa na changamoto ya kulipa madeni yake.

A B1 rating signifies that Moody's believes the country has a higher probability of defaulting on its debt obligations.
 
Tunawazidi majirani lakini B1 sio rating ya kujivunia.
B1 inaashiria kwamba mkopaji anaweza kuwa na changamoto ya kulipa madeni yake.

A B1 rating signifies that Moody's believes the country has a higher probability of defaulting on its debt obligations.
But ukitulinganisha na wenzetu sisi tunaafadhali sana
 
Back
Top Bottom