Kwa mtazamo wako ni sahihi, lakini wapo wenye nia na uwezo wa kuchangia na ndio maana halisi ya jukwaa hili.Sio kila hoja ni ya kujibiwa
Chawa promaxMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
Samia mitano tenaMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
Kafulila unaonesha bidii sana Mungu akupe tamanio la moyo wakoMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
CCM na CHADEMA wanapishama miaka mingapi?Hili vugu vugu la Afrika la kuvitoa vyama vya muda mrefu madarakani ni hatua muhimu ya mtu mweusi kutafuta mabadiliko ya kiutawala. Ni ngumu sana kuzuia mabadiliko hata kama robo tatu ya nchi ni polisi.
Hii ID mbona kama ni ya Mtakatifu?Kwa Tanzania, mbadala wa kwanza ni kuitoa CCM madarakani.
Wachina hawajawahi kuwa watu wazuri kwa AfricaAfrica bado ina rasilimali za kutosha lakini naona CHINA wako Kasi sana kuchukua rasimali za Africa,
Wachina waangaliwe sana hasa Tanzania
Ila watu mnamaneno ya kejeli aiseeeUkiona hivyo ujue kuna mahala wamekubaliwa kukopa! So sad.
Hongera sana KafulilaMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
Jamaa kabarikiwaHuyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Anajifunza sanaHuyu Muha Yuko Smart sana nafuatilia sana mijadala yake na nimejifunza vitu vingi
Mama Samia Mitano tenaMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
HuelewekiHili ameligundua Leo.
Hajui kwamba tunapiga kelele ili watu watumie akili na kufikiria nje ya box na hatimaye kutanua uwanja.
Production Iko chini sana, watu wengi ni walaji sio wazarishaji, unahitaji akili iliyoshiba ili kutanua uwanja na kufanya watu wengi katika Taifa kuwa productive maana yake shughuri za uzarishaji mali zitakuwa nyingi na nchi itaexport sana kuliko kuimport na hata kuacha uchuuzi wa bidhaa za China, India nk.
Unaitoa CCM Kwa chama gani?Hili vugu vugu la Afrika la kuvitoa vyama vya muda mrefu madarakani ni hatua muhimu ya mtu mweusi kutafuta mabadiliko ya kiutawala. Ni ngumu sana kuzuia mabadiliko hata kama robo tatu ya nchi ni polisi.
AnajulikanaHuyu jamaa ni kichwa sana kila anachoongea ni point
Asante Kafulila kwa uzalendo huuMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930
Africa ya kijaniMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani zaidi
View attachment 3226930