David Kafulila: Mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali kuyafikia kwa kutegemea kodi na mikopo pekee

David Kafulila: Mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali kuyafikia kwa kutegemea kodi na mikopo pekee

Sio kila hoja ni ya kujibiwa
Kwa mtazamo wako ni sahihi, lakini wapo wenye nia na uwezo wa kuchangia na ndio maana halisi ya jukwaa hili.
Kama wewe huoni umuhimu huo soma tu upite kimya kimya....

Kutweza wachangiaji itakusaidia nini? 😲
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Chawa promax
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Samia mitano tena
 
IMG-20250211-WA0039.jpg
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Kafulila unaonesha bidii sana Mungu akupe tamanio la moyo wako
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Hongera sana Kafulila
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Mama Samia Mitano tena
 
Hili ameligundua Leo.
Hajui kwamba tunapiga kelele ili watu watumie akili na kufikiria nje ya box na hatimaye kutanua uwanja.

Production Iko chini sana, watu wengi ni walaji sio wazarishaji, unahitaji akili iliyoshiba ili kutanua uwanja na kufanya watu wengi katika Taifa kuwa productive maana yake shughuri za uzarishaji mali zitakuwa nyingi na nchi itaexport sana kuliko kuimport na hata kuacha uchuuzi wa bidhaa za China, India nk.
Hueleweki
 
Hili vugu vugu la Afrika la kuvitoa vyama vya muda mrefu madarakani ni hatua muhimu ya mtu mweusi kutafuta mabadiliko ya kiutawala. Ni ngumu sana kuzuia mabadiliko hata kama robo tatu ya nchi ni polisi.
Unaitoa CCM Kwa chama gani?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Asante Kafulila kwa uzalendo huu
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia nzima kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani zaidi

View attachment 3226930
Africa ya kijani
 
Back
Top Bottom