David Kafulila: Masuala ya Mikataba Mibovu aina ya IPTL hayawezi kujirudia kupitia PPP

David Kafulila: Masuala ya Mikataba Mibovu aina ya IPTL hayawezi kujirudia kupitia PPP

Ndugu zangu Watanzania,

Mkurugenzi Mkuu wa PPP Mheshimiwa David Kafulila amewatoa hofu watanzania ambao wameonyesha kuwa na hofu kubwa sana juu ya mikataba ya Ubia .hasa kwa kurejea majeraha na makovu ya mikataba mibovu ambayo yamewahi kushuhudia yakileta hasara kwa Taifa letu.ikiwepo IPTL ambayo ilikuwa ni kama Jini Mnyonya Kodi za Watanzania wanyonge.

Ambapo Mheshimiwa David Kafulila Amesema ya kuwa ni katika mafunzo na uzoefu huo wa kuhakikisha hatuingii mikataba mibovu ya aina hiyo ndio iliyopelekea kupitishwa kwa sheria namba 103 ya PPP.Amesema kuwa PPP inatumika maeneo mbalimbali Duniani ikiwepo China ,India,Amerika na ulaya yote.

Hata hivyo amekiri kuwa Watanzania wapo sahihi kuwa na hofu ,hasa kwa kuzingatia yaliyotokea siku za nyuma kuhusiana na mikataba mibovu iliyoligharimu Taifa letu.

Soma Pia: Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Na hofu hiyo inakuja wakati huu ambao kampuni ya Adani imeonyesha nia na dhamira ya kutaka kuwekeza katika miundombinu ya Umeme hasa usafirishaji wa Umeme kwa Mfumo wa Ubia.

Ambapo wengi wametoa maoni yao kuwa Kwanini serikali isiifanye kazi hiyo yenyewe kupitia TANESCO kwa kuiongezea Bajeti. Wengine wakasema kuwa kama tumeweza kufikisha umeme hadi ngazi za vitongoji huko vijijini ,iweje sasa tutafute muwekezaji wa kusafirisha umeme wakati hata sisi wenyewe tunaweza kufanya kazi hiyo kwa ufanisi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo sheria inahakikishaje?
Mbona DP world tuliingia?
 
Ondoa hofu yako ndugu yangu mtanzania.wala usiwe na wasiwasi.ppp ipo katika mikono salama sana na mikataba itakayosainiwa ni ile yenye maslahi,tija na faida kwa Taifa letu.

Ati niondoe hofu?

Niambie kwanini nisiwe na hofu?

Kwani, kusema kwamba PPP ipo katika mikono salama, pekee haitoshi.
 
Haya sasa, Ushaanza dana dana.

Weye ndie Uliesema niondoe hofu, ikiwa ina maana unaijuia hofu yangu. Halafu nakuuliza swali, unanijibu na Swali?

"That is a damnig non Answer"~Walz.
Nimekupatia majibu lakini bado inaonyesha kuwa na wasiwasi.ndio maana nimekuuliza nje na majibu mazuri na toshelezi unahofu gani nyingine?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mkurugenzi Mkuu wa PPP Mheshimiwa David Kafulila amewatoa hofu watanzania ambao wameonyesha kuwa na hofu kuikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama upo karibu na Rais Samia mwambie aweke lami barabara zote za mbezi beach, walipa kodi wakubwa wanaishi huku, watumishi wa serikali kuanzia awamu ya kwanza wanaishi huku.

Siasa za chuki hazina maana yoyote kuzirithi, hazina tija. Masuala ya kukomoana yamepitwa na wakati. Naamini SSH ni mtu mpenda maendeleo ya kweli hivyo hoja ikijengwa vizuri itamshawishi tu.
 
Judge Werema alimpaga kubwa na kumuita Tumbiri katika mazingira tata kama haya...
Juzi tu lile takataka la bandari lilivyotoka ndio watu wakapagawa kwamba hivi inakuwaje serikali ikatengeneza kitu kama kile?...anafikiri tumesahau...yeye anaiona IPTL tu....Very irritating
Sababu ya mikataba kufanywa siri ni kutotaka kujibu tuhuma za kipuuzi kama hizi za kwako.

Sababu nyingine ni kile kinachoandikwa kwenye mikataba ya kibiashara kuwa ni siri ya pande mbili, pengine mwekezaji anakupa upendeleo wewe wa kibiashara na anamnyima mbia mwingine wa nchi nyingine.

Pengine wewe kama mkaribishaji wa uwekezaji wake unampa upendeleo fulani ambao haupati kwa wakaribishaji wengine wa uwekezaji anaoufanya, kuna technicalities nyingi za kibiashara ambazo pande mbili hazioni sababu ya kuuanika mkataba. Ile sio biashara ya kuuza vitumbua, ni uwekezaji mkubwa wenye tija kwa pande zote mbili.
 
Nimekupatia majibu lakini bado inaonyesha kuwa na wasiwasi.ndio maana nimekuuliza nje na majibu mazuri na toshelezi unahofu gani nyingine?
Sawa Tlaatlaah

Wazungu ni wezi tu

Tangia waingie huku Afrika, wamekuwa wakifanya haya haya.

Kuwaibia Waafrika...

Jenga Hospitali, Jenga Shule, Jenga Barabara n.k n.k Yani Miundombinu. Sasa wamerudi na just a fancy name. Wakimaliza, hela yote inarudi kwao.. Wnafunzi waliosomeshwa, wanahamia kwao, huduma za Afya nazo vilevile. Sasa wanapotujenge hizi substandard hospital huwa kitu gani kinatokea?

Hela karibia yote anayodai Lissu yote inaenda Ulaya.

Sasa Huu ubia utabadilisha nini?

Inatofauti gani na zile Colonial charters? Ambazo zilikuwa zina malengo haya haya tu na visingizio kibao?

Same ole. Exploiting local resources and labor often tobthe detrimentbof our countries and local communities.

The same framework that was used before WW1 and WW2

Waingereza wameshtuka na Wafaransa nao pia na hizi PPP. Wenyewe🙌🏾😂

Kifupi ni kwamba mpango huu haubadilishi chechote kile likija swala la Transparency na Accountability....hata ikiwa ni Kafulila kasema 'hii sio kama IPTL'
 
Sababu ya mikataba kufanywa siri ni kutotaka kujibu tuhuma za kipuuzi kama hizi za kwako.

Sababu nyingine ni kile kinachoandikwa kwenye mikataba ya kibiashara kuwa ni siri ya pande mbili, pengine mwekezaji anakupa upendeleo wewe wa kibiashara na anamnyima mbia mwingine wa nchi nyingine.

Pengine wewe kama mkaribishaji wa uwekezaji wake unampa upendeleo fulani ambao haupati kwa wakaribishaji wengine wa uwekezaji anaoufanya, kuna technicalities nyingi za kibiashara ambazo pande mbili hazioni sababu ya kuuanika mkataba. Ile sio biashara ya kuuza vitumbua, ni uwekezaji mkubwa wenye tija kwa pande zote mbili.
Umemjibu vizuri sana .kama ana kichwa na akili Timamu atakuwa amekuelewa vyema.
 
Sawa Tlaatlaah

Wazungu ni wezi tu

Tangia waingie huku Afrika, wamekuwa wakifanya haya haya.

Kuwaibia Waafrika...

Jenga Hospitali, Jenga Shule, Jenga Barabara n.k n.k Yani Miundombinu. Sasa wamerudi na just a fancy name. Wakimaliza, hela yote inarudi kwao.. Wnafunzi waliosomeshwa, wanahamia kwao, huduma za Afya nazo vilevile. Sasa wanapotujenge hizi substandard hospital huwa kitu gani kinatokea?

Hela karibia yote anayodai Lissu yote inaenda Ulaya.

Sasa Huu ubia utabadilisha nini?

Inatofauti gani na zile Colonial charters? Ambazo zilikuwa zina malengo haya haya tu na visingizio kibao?

Same ole. Exploiting local resources and labor often tobthe detrimentbof our countries and local communities.

The same framework that was used before WW1 and WW2

Waingereza wameshtuka na Wafaransa nao pia na hizi PPP. Wenyewe🙌🏾😂

Kifupi ni kwamba mpango huu haubadilishi chechote kile likija swala la Transparency na Accountability....hata ikiwa ni Kafulila kasema 'hii sio kama IPTL'
Mawazo haya yanatuacha na umaskini mkubwa zaidi yanapoendekezwa. Tujifunze kujitegemea kama tunaijua fedheha ya kunyanyaswa na wazungu.

Wanaumiza vichwa vyao kubuni teknolojia za hali ya juu na ni maamuzi yao kukubali kuziacha hizo teknolojia zikajulikana kwenye kwetu.

Nilimuelewa Obama alipokuja Tanzania na kusema kuwa maendeleo ya afrika ya karne hii yatategemea uwezo wa waafrika kufanya biashara wao kwa wao kuliko kutegemea pesa itokayo kwa wazungu moja kwa moja.

Badala ya kufikiria namna gani tunaweza kujitegemea tupo bize katika kuwindana sisi kwa sisi, tunaendelea kutafuta kufarakana badala ya kufikiria biashara pana za sisi kwa sisi.
 
Wamesha sahau DP world.

Lakini, Iko siku watatuambia mikataba kama ya Dp world haita jirudia.
Ni hawa hawa.
 
Umepembuliwa wapi ?

Watu tumesikia wanatoa proposal ya kuja kufanya usambazaji.., sasa nieleze huo usambazaji unafanyika wapi na vipi na wana teknolojia gani ambayo sisi tunashindwa kuipata na zile pesa za REA tunazokatwa kila siku kila mtu akinunua umeme na tunaambiwa asilimia za kutosha zimeshakamilika kusambaza umeme kila kona zina maana gani ?

Wapi umeona Adani kapewa deal? Ni dhahiri shair usambazqj kwe2 ni changamoto ndo maan hata kipind kile moja ya sababu umeme kukatika hio ni mojawapo.
 
Wapi umeona Adani kapewa deal? Ni dhahiri shair usambazqj kwe2 ni changamoto ndo maan hata kipind kile moja ya sababu umeme kukatika hio ni mojawapo.
Usambazaji wetu ni changamoto kwa vipi tena ?Kumbuka serikali ilitoa hela nyingi sana( trillions )za kukarabati miundombinu ya usambazaji wa umeme kipindi hicho.
 
Wapi umeona Adani kapewa deal?
Aisee yaani hata wewe ukijifuatilia unajielewa ?

Sio wewe uliyesema haya.....
Hongera sana kwa ufatiliaji sasa effectiveness angalia Mapato na michakato kama huu wa Adani ulivyopembuliwa
Na mimi nikajibu hivi

Umepembuliwa wapi ?

Watu tumesikia wanatoa proposal ya kuja kufanya usambazaji.., sasa nieleze huo usambazaji unafanyika wapi na vipi na wana teknolojia gani ambayo sisi tunashindwa kuipata na zile pesa za REA tunazokatwa kila siku kila mtu akinunua umeme na tunaambiwa asilimia za kutosha zimeshakamilika kusambaza umeme kila kona zina maana gani ?
Ni dhahiri shair usambazqj kwe2 ni changamoto ndo maan hata kipind kile moja ya sababu umeme kukatika hio ni mojawapo.
Unajua maana ya usambazaji ni kwamba umeme umeshazalishwa sasa unasambazwa kupitia kwenye nyaya sasa moja kipindi cha makamba alivyotwambia mifumo ilikuwa imechoka na tukatumia mapesa ya kutosha ili kusuka mfumo upya tulikuwa tunasuka nini ? Pili kama tunaambiwa umeme umewezwa kusambazwa kwa asilimi kubwa na bado vijiji vichache kwahio unataka kuniambia wameweza kwa asilimia kubwa washindwe kumalizia asilimia ndogo ?
 
Back
Top Bottom