David Kafulila ni hazina kwa Taifa letu, anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana ya nchi

Mheshimiwa Kafulila amepitia Mambo magumu sana na majaribu makubwa sana . lakini cha kutia moyo ni kuwa bado Mheshimiwa Kafulila ameendelea kusimama imara na kwa uzalendo wake mkubwa pasipo kusaliti misingi yake ya kusimamia ukweli.
 
Wewe kwenye siasa hizi umezijulia kipindi hiki cha awamu ya sita,hujui historia ya vyama vingi,wewe umejikita kusifia sifia ili upate mkate wako wa siku.
Ningependa kukwambia kuwa mimi nimeanza siasa muda mrefu sana na naifahamu vyema siasa ya nchi hii na historia yake. Hata hapa JF nimekuwa mfuatiliaji wa muda mrefu sana tangia mwaka 2013 japo nimekuja kujiunga 2022. Kwa hiyo mijadala yote iliyokuwa ikiendeshwa na aina mzee mwanakijiji mimi nilikuwepo hapa nafuatilia. Mama Tibaijuka anajiunga JF 2014 mimi nilikuwepo hapa nafuatilia . Kwa hiyo usinichukulie poapoa.
 
Nimelia aisee hii.😭😭😭😭
 
Siyo nakuchukulia poa ila aina ya michango yako inakuchora hivyo,au ndiyo ushabiki wako umekupofusha huoni kitu chochote zaidi ya kile unachopenda wewe vingine vyote kwako ni hakuna.
 
Siyo nakuchukulia poa ila aina ya michango yako inakuchora hivyo,au ndiyo ushabiki wako umekupofusha huoni kitu chochote zaidi ya kile unachopenda wewe vingine vyote kwako ni hakuna.
Sasa watu kama CHADEMA unaona wana hoja gani zaidi ya hoja za ubaguzi na chuki tu?
 
Upofu wako umeona ubaguzi. Nikikuambia ufafanue wamembagua nani unajaza kurasa kueleza upotoshaji wako. Uzushi huu uongo na upotoshaji wako unaishia humu humu.
Kwaninhukuzisikia kauli chafu za kibuguzi zilizokuwa zinatolewa na Lissu? Au wewe ni kiziwi husikia chochote kile.
 
Acha kupotosha wewe na akili yako hiyo ya kushindwa kuelewa mambo katika uhalisia wake.
Wewe ndiye huelewi kitu. Kero za muungano zitokanazo na muundo wa muungano zinalalamikiwa na wananchi wa pande zote za muungano kila zikizungumzwa wahafidhina wa CCM wasema ni ubaguzi. Kufumbia macho kero hizi ndiyo kifo cha huu muungano. Wewe umekariri tu sikulaumu.
 
Kafulila tumemkuza kwako wewe ni kiumbe kipya CHAMA chenu kinaongoza inchi na Bado mnashindia kahawa Lumumba je mngekua Wana Chadema kama Mimi sijui tungewakuta wapi jikomboe kijana kwanini ukubali kutimia vibaya mwili wako kisa njaa ndogo ndogo
 
Mheshimiwa David Kafulila Ni mzalendo wa kweli .ndio maana unaona anazungumzwa na watu wengi sana kumtia moyo.

Kafanya nini kumfanya awe Mzalendo wa kweli .... Alipokuwa upande wa pili alikuwa TUMBIRI .... Leo ni Mzalendo wa kweli. Mnafurahisha sana.
 
Kafanya nini kumfanya awe Mzalendo wa kweli .... Alipokuwa upande wa pili alikuwa TUMBIRI .... Leo ni Mzalendo wa kweli. Mnafurahisha sana.
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kubadilika wala kusaliti misimamo yake. Ni yeye yule yule Kafulila wa wakati wote na muda wote.kwake spedi ni spedi na wala siyo kijiko kikubwa.
 
Kafulila tumemkuza kwako wewe ni kiumbe kipya CHAMA chenu kinaongoza inchi na Bado mnashindia kahawa Lumumba je mngekua Wana Chadema kama Mimi sijui tungewakuta wapi jikomboe kijana kwanini ukubali kutimia vibaya mwili wako kisa njaa ndogo ndogo
😃😃😃Hujawahi kuwa na akili hata siku moja wewe. Nani kakwambia nipo Lumumba kushindia kahawa😃😃. Hivi bado mnabugia viroba
 
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kubadilika wala kusaliti misimamo yake. Ni yeye yule yule Kafulila wa wakati wote na muda wote.kwake spedi ni spedi na wala siyo kijiko kikubwa.

Sijasema amebadilika. Ni nyie maCCM. Alipokuwa upande mwingine mkamwita Tumbiri... Leo yuko kwenu anakuwa jembe. Anyway, mimi namfahamu vizuri tena kwa karibu kuliko wewe.
 
Sijasema amebadilika. Ni nyie maCCM. Alipokuwa upande mwingine mkamwita Tumbiri... Leo yuko kwenu anakuwa jembe. Anyway, mimi namfahamu vizuri tena kwa karibu kuliko wewe.
Kama unamfahamu usisite kumuelezea ili na sisi tumfahamu zaidi
 
Sijasema amebadilika. Ni nyie maCCM. Alipokuwa upande mwingine mkamwita Tumbiri... Leo yuko kwenu anakuwa jembe. Anyway, mimi namfahamu vizuri tena kwa karibu kuliko wewe.
Mheshimiwa Kafulila Anafahamika na Taifa zima kuwa ni mzalendo asiye tiliwa mashaka. Ni mtu aliyenyooka kama rula .
 
Huyu hakika ni Mzalendo wa kweli Asante sana Lucas Mwashambwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…