David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

Waafrika wangeacha kutumia mifum hiyo ya wazungu inalemazaa mpaka tunakuwa tgemezi kila siku.
 
Sasa hayo kayasema Kafulila au Dambisa Moyo Muandishi wa hicho kitabu cha "Dead aid"?.
 
Trump ni "mpango wa Mwenyezi Mungu"....

Confessions of an Economic Hitman- John Perkins .

Trump has opened up a Pandora box ,the directions we plan as a next step should be well organized and calculated ,it's high time for these developing countries to cut down unnecessary expenditures and to invest hugely in agriculture sector.....
Sasa yale magorofa ya masaki na obey nani atapangisha? Wenye misaada yao wamesitisha na staffs wamerudi kwao,
 
View attachment 3258108
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya, kati ya mwaka 1970 mpaka mwaka 1998 misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ule lakini chaajabu ni katika wakati huo huo umasikini wa bara la Africa ulikua na kufikia 66% kutoka 11%.

Baada ya Rais Trump kupunguza misaada ya Marekani katika bara la Africa Je, kutachochea zaidi kukua kwa Uchumi wa Africa ?

Je, hili ndio lengo la Rais Donald Trump katika kukuza Uchumi wa Africa?

Naamini hii si habari njema kwa wanaofurahia Trump kuinyima misaada Serikali ya CCM kwani ni sawa na kumpiga teke chura.
Misaada inabwetwesha, Asante Kafulila kwa wazo hili
 
View attachment 3258108
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya, kati ya mwaka 1970 mpaka mwaka 1998 misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ule lakini chaajabu ni katika wakati huo huo umasikini wa bara la Africa ulikua na kufikia 66% kutoka 11%.

Baada ya Rais Trump kupunguza misaada ya Marekani katika bara la Africa Je, kutachochea zaidi kukua kwa Uchumi wa Africa ?

Je, hili ndio lengo la Rais Donald Trump katika kukuza Uchumi wa Africa?

Naamini hii si habari njema kwa wanaofurahia Trump kuinyima misaada Serikali ya CCM kwani ni sawa na kumpiga teke chura.
Safi sana
 
Kizimkazi ndo kwanza anaendekeza mabakuri kama "role model" wake usogani ...ajiangalie asije kumkwaza
 
Kizimkazi ndo kwanza anaendekeza mabakuri kama "role model" wake usogani ...ajiangalie asije kumkwaza
Misaada inarudisha nyuma akili zetu japo bado inahitajika kwa hali ilivyo sasa,
Ni Kweli Trump kukata misaada kumetuumiza ila haiondoi ukweli kwamba bado tunahitaji msaada
 
Sasa yale magorofa ya masaki na obey nani atapangisha? Wenye misaada yao wamesitisha na staffs wamerudi kwao,
Kwani walijua watawapangisha watu wa aina hiyo milele ?
Ninaamini chochote kinaweza kubadilika muda wowote ....
 
Uko sahihi kabisa Uchumi wetu utakuwa tu
 
Ukweli unaweza kuwepo katika kipindi, yaani ni lini umaskini wa Afrika uliongezeka, LAKINI, sikubaliani kuwa umaskini huo ulitokana na kupewa misaada.

Korea Kusini, baada ya vita ilipewa misaada mingi na USA, na leo ni Taifa tajiri, likiwa na GDP kubwa kuliko Russia.

Ujerumani baada ya vita kuu ya Dunia, ilipewa misaada mikubwa na USA, leo ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Ulaya.

Hong Kong, baada ya mgogoro wake na China Mainland, ilipewa misaada mingi na Ulaya, leo ni tajiri.

Urusi, mwishoni mwa miaka 1980 ilichoka kiasi cha kufilisika, mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikapewa msaada na Marekani na Ulaya, leo Urusi haina uchumi wa kutegemea Taifa jingine.

UKWELI
Umaskini wa Afrika haujasababishwa na misaada, kwa kiasi kikubwa ni kutokana na poor leadership na atitude ya watu wake.

Naunga mkono Afrika kutopewa misaada kwa sababu Waafrika hawajitambui. Fikiria nchi inaenda kukopa pesa nje, halafu nchi hiyo hiyo, inatumia bilioni 300 kuchapisha mabango ya picha ya Rais, kununua magoli, kutalii na wasanii nje ya nchi, rasilimali zake zilizojengwa kwa mikopo kama bandari inawapa waarabu bure, viwanja vya ndege vilivyojengwa kwa pesa ya mikopo, inawapa waarabu bure, mbuga za wanyama na misitu, vitu walivyotengenezewa na Mungu, nchi inawapa waarabu bure!! Afrika isipewe misaada wala mikopo kwa sababu waafrika hawajitambui. Pesa za misaada zinaishia kwenye mambo ya kininga, kama vile kutengeneza machawa.
Mkuu Unaongea ukweli sana
 
View attachment 3258108
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya, kati ya mwaka 1970 mpaka mwaka 1998 misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ule lakini chaajabu ni katika wakati huo huo umasikini wa bara la Africa ulikua na kufikia 66% kutoka 11%.

Baada ya Rais Trump kupunguza misaada ya Marekani katika bara la Africa Je, kutachochea zaidi kukua kwa Uchumi wa Africa ?

Je, hili ndio lengo la Rais Donald Trump katika kukuza Uchumi wa Africa?

Naamini hii si habari njema kwa wanaofurahia Trump kuinyima misaada Serikali ya CCM kwani ni sawa na kumpiga teke chura.
Kafulila ni akili ndefu hapa Trump kanyanyaswa kijinsia
 
Mimi huwa siamini kama Kafulila ana akili timamu, kwanini huwa hashauri watawala kupunguza matumizi makubwa ya anasa?
 
Back
Top Bottom