David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

View attachment 3258108
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya, kati ya mwaka 1970 mpaka mwaka 1998 wakati misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ule lakini chaajabu ni katika wakati huo huo umasikini wa bara la Africa ulikua na kufikia 66% kutoka 11% kabla ya hiyo misaada.

Mkurugenzi huyu anafafanua zaidi kwa wasiofahamu kwamba,

Umasikini wa bara la Afrika ulipaa au ulikuwa zaidi hadi kufikia kilele Cha asilimia 66 kutoka asilimia 11 tu baada ya wahisani kuongeza misaada yao kwa bara hili la Afrika​


Baada ya comment hii ya David Kafulila nimejiuliza maswali kadhaa endapo Rais Donald Trump wa Marekani kupunguza kwake misaada ya Marekani (USAID ) katika bara la Africa Je, kutachochea zaidi kukua kwa kwa Uchumi wa bara la Africa kama ilivyokuwa kabla ya miaka 1970?

Je, huenda hii ndio likawa moja ya lengo la Rais Donald Trump wa Marekani katika kukuza Uchumi wa bara la Africa au ni katika kulidhoofisha bara hili?

"Wakati mwingine kumpiga chura teke ni sawa tu na kumwongezea mwendo"





===
Kumbe nia ya wazungu kutusaidia nikutaka tuendelee kuwa tegemezi?

Hakuna kurudi nyuma lazima tupambane
 
Sio hata data, the way he formulates his arguments and the nonsense behind his justification.

Hakuna mtu anashida na nafasi ya Kafulila huko serikalini, kwenye serikali ikitoka iliyojaza watu luluki wasio na technical knowledge ya nafasi zao.

It’s the over ambitions za huyu mtu kutwa kuongea ujinga na kulipa watu au yeye mwenyewe ya kutuandikia ujinga humu JF kuhusu ujinga wangę ndio inakera.

Yaani kila uchao unasoma ujinga wa Kafulila kwa maelezo ambayo ukisoma mada zenyewe ni ujinga mtupu wa maswala ambayo hawana nitty gritty zake.

Ni kuandika ujinga tu, yaani kuna watu wapo committed ku-post ujinga wa Kafulila kushinda CCM humu jukwaani.

Kafulila mwenyewe nae anatumia muda mwingi kutafuta air time kuongelea mambo ambayo hata elementary knowledge inamsumbua ni ujinga mtupu
Mimi nafikiri ungejibu hoja yake kwani Mimi naona,

Wewe Kwa UCHADEMA wako unaweza usione kazi anayoifanya Kafulila lakini mbona CHADEMA hamtaki kuzijibu hoja zake?

Kafulila amekuwa na hoja ngumu ngumu kiasi ambacho hamuwezi kumpinga na hiki ndicho mlichonakiwa nacho.


Hoja Vs Hoja,

Njoo ukanushe hii
 
Ukweli unaweza kuwepo katika kipindi, yaani ni lini umaskini wa Afrika uliongezeka, LAKINI, sikubaliani kuwa umaskini huo ulitokana na kupewa misaada.

Korea Kusini, baada ya vita ilipewa misaada mingi na USA, na leo ni Taifa tajiri, likiwa na GDP kubwa kuliko Russia.

Ujerumani baada ya vita kuu ya Dunia, ilipewa misaada mikubwa na USA, leo ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Ulaya.

Hong Kong, baada ya mgogoro wake na China Mainland, ilipewa misaada mingi na Ulaya, leo ni tajiri.

Urusi, mwishoni mwa miaka 1980 ilichoka kiasi cha kufilisika, mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikapewa msaada na Marekani na Ulaya, leo Urusi haina uchumi wa kutegemea Taifa jingine.

UKWELI
Umaskini wa Afrika haujasababishwa na misaada, kwa kiasi kikubwa ni kutokana na poor leadership na atitude ya watu wake.

Naunga mkono Afrika kutopewa misaada kwa sababu Waafrika hawajitambui. Fikiria nchi inaenda kukopa pesa nje, halafu nchi hiyo hiyo, inatumia bilioni 300 kuchapisha mabango ya picha ya Rais, kununua magoli, kutalii na wasanii nje ya nchi, rasilimali zake zilizojengwa kwa mikopo kama bandari inawapa waarabu bure, viwanja vya ndege vilivyojengwa kwa pesa ya mikopo, inawapa waarabu bure, mbuga za wanyama na misitu, vitu walivyotengenezewa na Mungu, nchi inawapa waarabu bure!! Afrika isipewe misaada wala mikopo kwa sababu waafrika hawajitambui. Pesa za misaada zinaishia kwenye mambo ya kininga, kama vile kutengeneza machawa.
Lakini naamini hili sio lengo la watoa misaada,

Watoa misaada na wao wameishiwa fedha hiyo ndio sababu kubwa.
 
View attachment 3258108
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya, kati ya mwaka 1970 mpaka mwaka 1998 wakati misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ule lakini chaajabu ni katika wakati huo huo umasikini wa bara la Africa ulikua na kufikia 66% kutoka 11% kabla ya hiyo misaada.

Mkurugenzi huyu anafafanua zaidi kwa wasiofahamu kwamba,

Umasikini wa bara la Afrika ulipaa au ulikuwa zaidi hadi kufikia kilele Cha asilimia 66 kutoka asilimia 11 tu baada ya wahisani kuongeza misaada yao kwa bara hili la Afrika​


Baada ya comment hii ya David Kafulila nimejiuliza maswali kadhaa endapo Rais Donald Trump wa Marekani kupunguza kwake misaada ya Marekani (USAID ) katika bara la Africa Je, kutachochea zaidi kukua kwa kwa Uchumi wa bara la Africa kama ilivyokuwa kabla ya miaka 1970?

Je, huenda hii ndio likawa moja ya lengo la Rais Donald Trump wa Marekani katika kukuza Uchumi wa bara la Africa au ni katika kulidhoofisha bara hili?

"Wakati mwingine kumpiga chura teke ni sawa tu na kumwongezea mwendo"





===
Kafulila kwenye hoja wewe ni mwanaume 👏👏👏👏
 
Mimi nafikiri ungejibu hoja yake kwani Mimi naona,

Wewe Kwa UCHADEMA wako unaweza usione kazi anayoifanya Kafulila lakini mbona CHADEMA hamtaki kuzijibu hoja zake?

Kafulila amekuwa na hoja ngumu ngumu kiasi ambacho hamuwezi kumpinga na hiki ndicho mlichonakiwa nacho.


Hoja Vs Hoja,

Njoo ukanushe hii
Twende kazi

Uchumi unakuzwa na uzalishaji ni kiasi gani cha hiyo mikopo ilienda kwenye usimamizi wa tija.

Either kupitia serikali au sector binafsi; na usimamizi wake wa ku recoup investment ulikuwaje.

Nipe jibu tuchague sehemu ya kupeleka lawama na sababu zake. Halafu tuanze mjadala.

Sio Kafulila wala wewe, wenye kuweza huo mjadala.

Tunaposema waty hawana uwezo is not personal, kwa sababu hata wewe nikisema twende na maswali yako mbele huna uwezo wa kujibu miaka 800 nina uhakika huo

Sasa sio namponda Kafulila out of the blue nishamsoma na kuona anaongelea vitu ambavyo yeye mwenyewe anaulewa navyo mdogo mnooo.
 
Twende kazi

Uchumi unakuzwa na uzalishaji ni kiasi gani cha hiyo mikopo ilienda kwenye usimamizi wa tija.

Either kupitia serikali au sector binafsi; na usimamizi wake wa ku recoup investment ulikuwaje.

Nipe jibu tuchague sehemu ya kupeleka lawama na sababu zake.
Sasa wewe unachokisema ndicho alichoandika Kafulila,

Kwamba Uchumi unajengwa kwa uzalishaji Wala sio Misaada.

Sasa hoja yako hasa ni ipi?
 
Miaka ya 60 mpaka 70, Taifa la Nigeria pesa yao Naira ilikuwa na thamani kubwa kuliko Dola ya Marekani

Yako wapi leo?
Screenshot_20250306_193007_Instagram~2.png
 
Sasa wewe unachokisema ndicho alichoandika Kafulila,

Kwamba Uchumi unajengwa kwa uzalishaji Wala sio Misaada.

Sasa hoja yako hasa ni ipi?
Twende kazi

Hakuna mtu atakukopesha bure tu.

Lender anataka return, hasa private lender. Hela ambazo nchi kama Tanzania ilikuwa inapata zilikuwa zinatoka wapi na kwanini tulishindwa kurudisha?

Mind you unapokopa unakuwa na collateral na economic plan ya kurudisha.

Ni vipi kushindwa kwako kulipa iwe lawama ya mkopeshaji tena kwa riba ndogo?

Zungumzia kwa mazingira ya Tanzania na riba za nyakati huo.
 
Misaada imeua kila kitu Cha Africa
Ni kweli hata mtu akiwa tegemezi kwako miaka yote,
Basi hawezi kufanya lolote lile
Hii ni kama Taifa pia
Hebu fikiria Professor Tiba analalamika sisi kukatiwa misaada badala ya kutumia akili yake na kusema lazima tujikomboe kwa wazungu

Najua Umasikini ni Laana
 
Sasa wewe unachokisema ndicho alichoandika Kafulila,

Kwamba Uchumi unajengwa kwa uzalishaji Wala sio Misaada.

Sasa hoja yako hasa ni ipi?
Ndio uelewe kwamba nikikwambia huwezi kunijibu nina uhakika.

Na nipasema Kafulila hana uwezo wa mambo anayoongelea ni kwamba hana uwezo nayo.

Tanzania kila kitu rahisi
 
Ni kweli hata mtu akiwa tegemezi kwako miaka yote,
Basi hawezi kufanya lolote lile
Hii ni kama Taifa pia
Hebu fikiria Professor Tiba analalamika sisi kukatiwa misaada badala ya kutumia akili yake na kusema lazima tujikomboe kwa wazungu

Najua Umasikini ni Laana
Ni wakati wa bara la Africa kuamka Sasa hali ni mbaya
 
Kafulila tunamjua anauwezo wewe ni nani mwenye uwezo lakini hatukujui?
Sema wewe ndio hunijui, lakini wenye nafasi ya kutaka kunijua tayari wananijua kwa kunitumia salamu kupitia watu wanaonijua.

Na majibu yangu kwao, I am not interested.
 
Sema wewe ndio hunijui, lakini wenye nafasi ya kutaka kunijua tayari wananijua kwa kunitumia salamu kupitia watu wanaonijua.

Na majibu yangu kwao, I am not interested.
Sasa jitambulishe na wewe watu wakujue kwa kuwa Kafulila tangu akiwa Bungeni tunafahamu ni kijana wa hoja Kali Kali
 
Sasa jitambulishe na wewe watu wakujue kwa kuwa Kafulila tangu akiwa Bungeni tunafahamu ni kijana wa hoja Kali Kali
Mwache Kafulila afanye yake, elewa tu wahusika wananijua (huko, serikalini) Iła sina interest.

Furaha yangu ni kuwananga tu wote huko serikalini; it’s never personal nk kwa maslahi ya nchi.

Nafasi za teuzi tuwaachie wengine na wengine tukubali kuna
maisha nje ya siasa; Lakini kusema hatutoacha mdomo ni mali yangu.
 
Back
Top Bottom