Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Hata kama midomo Mali yenu jitahidini muitumie Vizuri,Mwache Kafulila afanye yake, elewa tu wahusika wananijua (huko, serikalini) Iła sina interest.
Furaha yangu ni kuwananga tu wote huko serikalini; it’s never personal nk kwa maslahi ya nchi.
Nafasi za teuzi tuwaachie wengine na wengine tukubali kuna
maisha nje ya siasa; Lakini kusema hatutoacha mdomo ni mali yangu.
Mtu kama Kafulila ni mtu ambaye mchango wake kwenye Taifa hili unajulikana.