David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

Samia mitano tena
 
Inaendelea na nini wakati kila kitu kimeshikwa na Wachina?
 
Kuna watu wako kwenye payroll wanalipwa mamilioni kumpamba kafulila

Anatafuta cheo gani?
 
Mbinu za Kafulila kutafuta Umaarufu ni za kijinga sana! cha kushangaza amewapa mamlaka hata ya kututisha sisi tunao mchalenji!
 
Umasikini wa Africa tatizo haliwezi kuwa ni misaada ya wazungu ila.ujinga wa waafrica wenyewe.
 
Inaendelea na nini wakati kila kitu kimeshikwa na Wachina?
Hii ya Wachina hata Mimi napendekeza waangaliwe sana hawa watu.

Tunahitaji Wawekezaji lakini sio wa aina yao
 
Mimi sio CCM ila Kafulila ni mtu amebarikiwa kwenye hoja, hata kama tutamtukana vipi bado atafikiria nje ya box, tangu hii misaada imeondolewa Hali ya ukimya umetawala hakuna aliyesema Kiuchumi hii inamaanla gani zaidi ya huyu Kafulila, Mimi namuunga mkono ila Mimi kamwe sio CCM.
 
Hii ya Wachina hata Mimi napendekeza waangaliwe sana hawa watu.

Tunahitaji Wawekezaji lakini sio wa aina yao
Wameanza mtindo wa kufungua supernarket wanauza vitu vya kariakoo kwa bei ndogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…