ukweli tatizo la diamond sijaliona tatizo lipo kwa watu wake ndo wanafanya diamond aonekane na image mbovu kwa baadhi ya watu
Suala la Hollywood Walk of fame heaven on desert ametupiga fix lakini hata hivyo siamini kama alikusudia kutupiga fix... hakufahamu! Haya mambo mengine tunatakiwa kutumia akili ya kawaida tu. Hivi inawezekana dunia ya utandawazi kama hii udanganye kitu ambacho unafahamu kabisa within few minutes watu watafahamu ukweli? Ile kitu ni public, utadanganya vipi kwa nia ya kujipaisha? Watanzania tunajitia hamnazo... huyo Diamond ndo mara yake ya kwanza, unadhani angeweza kutofautisha?! Yeye alipofika, kakuta vile vile ka' zile tiles na stars za Hollywood... mtoto wa Kimanyema akaona, alah, Walk of Fame yenyewe si ndo hii, wacha niwatupie mzigo wenye vijiba vya roho!!!! Nadhani hakufahamu kwamba ile ya kwao ambayo ni temporary ni tofauti sana tena sana na ile ya Hollywood ambayo ni permanent! Kwahiyo, hii haikuwa big issue hata kidogo... kawaida sana kwamba jamaa kaingia ama kaingizwa choo cha kike!
Mkuu Nas daz hii siku nikikumbuka niliumia sana na hapa niliamini 60% ya watanzani tuna roho ya kutu sana
Aaaargh... wewe! Kumbe ulikuwepo ile siku ya Jide? Asavali manake swahibu ako warumi hapa angekuja kubisha kwamba uongo, Jide hawezi kuomba kupigiwa makofi lwakati ni kweli aliomba na Mitanzania tulivyo mishenzi, tukamlia bati vile vile mbele ya minanawe wake... Nakumbuka nilikuwa nimekaa na mwananchi mmoja, hadi leo nakumbuka kauli yake aliyosema "huyu nae, anaacha amalize aende zake, anatutilia kiwengu hapa....!" Trust me, niliumia sana ile siku, yaani tulimdhalilisha sana Jide mbele ya Minanawe!
nimecheka huko insta eti Watu wanaleta league na diamond hata passport za kusafiria hawana.....
kudhalilishwa kwa wasanii ni kawaida sana, ndomo mwenyew kashadhalilishwa sana hat uko majuu wakina rihanna wenyew wanadhalilishwaga so ni matokeo tu
sasa hod anafananisha jf na insta ndo maana uongo wa insta anauleta huku, next tym mwambie huku ni kwa GT kibao na wabeba box wakutosha, na nn kimemkuta swahiba wako naona karudia ile ID yake ya gossipiwarumi?
HOD haelewagi nikimwambia atasema mi hater....
warumi kakutana na boko haramu wameifungia I'd yake....
Daaah pole sana binamu naona kimeshanuka aisee
‪#‎DAVIDO‬ ONCE AGAIN.
YAANI KULE INSTAGRAM UKIMSIFIA DAVIDO UNATUKANWA MATUSI SANA NA WANAOJIITA MAKAMANDA WA ‪#‎WEMA‬ NA ‪#‎DIAMONDO‬.!!
YAANI HASIRA ZAO ZOOTE ZA ‪#‎DOMONDO‬ KUKOSA TUZO ZINAKUISHIA WEWE. WATU WANATUKANA HADI MIPOVU INAWATOKA MIDOMONI.
HIVI WANATAKA WATANZANIA WOTE WAMPENDE DIAMONDO???????
HAWA WANAFANYA MCHEZO NA SKELEWU AISEEEEEE.!! DIAMOND BORA ARUDI AENDELEE KUCHUKUA TUZO ZA KILI TU.
NAWASILISHA.
HOD haelewagi nikimwambia atasema mi hater....
warumi kakutana na boko haramu wameifungia I'd yake....
hh team wema na dai we unawaona wazima....?wale washawehuka sio wazima waleeee...mi nimewaona wanafki na wameumbuka baada ya kajala na wema kurudisha ushosti wamelowaaa haooo hatarii wanajfanya kusifia wakati ndo walikuwa wanatukana hafai....yani wanalazimisha kila jambo mi nshawatoa thamani ngoja siku mondi afulie uone watakavyomkengeuka!!!!!
watanipa BAN mpaka wachanganyikiwe umbea siachi binamu, speed mia 20 kama kaka davido
binamu nakupendaga sana unajua? yani mtu akitak aone kichaa cha warumi anigusie binamu yangu mbona atafurah kama warumi alivyofurah ndomo kukosa tuzo
binamu umemsikia ndomo uko insta?? mmh nyie ndomo anapenda sifa kiama, eti ka post picha yeye na kerueche eti anakwambia Me na my inlaw , jaman nimecheka binamu, sasa nikajiuliza huyo kerrueche shemej yake kwa nani? yan kualikwa BET uko ulaya mwenzetu kashapata kaka na shemej tayar, mh ndomo anayaweza aiseg
binamu umemsikia ndomo uko insta?? mmh nyie ndomo anapenda sifa kiama, eti ka post picha yeye na kerueche eti anakwambia Me na my inlaw , jaman nimecheka binamu, sasa nikajiuliza huyo kerrueche shemej yake kwa nani? yan kualikwa BET uko ulaya mwenzetu kashapata kaka na shemej tayar, mh ndomo anayaweza aiseg