Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Hii nchi hatutakaa tuendelee kamwe manake wengi wetu tumejawa na wivu wa kijinga... Unaweza kuona Wasanii wenzake ndio wanaongoza kufurahia Diamond kukosa tuzo... roho ya kwanini inatutafuna!!! Hizi roho za kwanini zinatafuna hadi soka letu... utashangaa midume mizuri kufuri zinaning'inia kwenye suruali wanashangilia timu ya kigeni dhidi ya ile ya home... roho ya kwanini!!Wasanii na mashabiki wao wenye roho ya korosho hawafahamu kwamba Music Labels kubwa duniani zina ofisi South Africa na Nigeria coz' wanamuziki wa huko wanafahamika... sisi tunataka atoke yule tunayempenda sisi tu, aliyekuwa nominated kama si wetu basi heri akose ili TUKOSE WOTE... NI USHAMBA ULIOJE!!! Yaani hapa watu wanavyoongea unaweza kusema huwa wameshwahi kukaa meza moja na Diamond na kuna siku akamzingua kwahiyo hasira zake anaona heri akose tu... utashangaa, wengine hata kwenye show zake hawajawahi hata kwenda tuseme labda alikuzingua kwenye show!! Sasa chuki na bifu linatoka wapi... TUKOSE WOTE, kv uliyemtaka hakupata nafasi??? Kwani hakupata nafasi kwa ajili ya Diamond au hakupata nafasi kv hafahamu biashara ya muziki wa kisasa inafanyika vipi!!!Jambo moja lipo clear hapa! Wengi wenu mnaomponda hamjafikia japo nusu ya mafanikio yake... labda mumtishe na hivyo vi-degree vyenu mnavyosihia kulipwa salary ya Laki 6 kwa mwezi kabla ya kodi wala PPF!!! Labda hiki ndicho kingine kinatusumbua... tumesotaa weeee.... na ma-HGK, ma-PCM, ma-CBG na makadhalika... halafu anakuja mwingine anapiga short cut....aaaaargh, inaumiza aisee!!

Mkuu NasDaz umepigilia msumari penyewe watu wana roho ya kwanini na hizo tabia ni za kina dada lakini sasa hivi hadi Wanaume wanazo. Na Mchawi sio mpaka akuroge ile roho ya kwanini pia ni uchawi tosha. Pendeni maendeleo ya wenzenu hizo ni tabia za kigagula, mie binafsi sipendi kabisa mtu mwenye roho ya kwanini na huwa hawaendelei watu wa dizaini hizi!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
tuzo yenyewe kapewa backstage .....syo live, hata hivyo diamnd kajitahidi tuache jelous ....... mpeni dogo credit
 
Afu cha ajabu siku hizi hadi chuki ziko kwa watoto wa kiume wenye ndevu zao,,teh teh teh hizo mambo waachieni kina dada. Unamponda Diamond wakati hata robo ya mafanikio yake hujayapata ndio kwanza unakaa kwenu unagombea maandazi na wadogo zako.

Diamond kajitahidi hapo alipo sio jambo dogo ila kashindanishwa na wakali zaidi yake na davido alistahili kuchukua no doubt. Ila waBongo tupunguze chuki.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Unanijua au shobo.?
unadhani kama wwe unagombea maandazi ni wote.?
 
Mkuu NasDaz umepigilia msumari penyewe watu wana roho ya kwanini na hizo tabia ni za kina dada lakini sasa hivi hadi Wanaume wanazo. Na Mchawi sio mpaka akuroge ile roho ya kwanini pia ni uchawi tosha. Pendeni maendeleo ya wenzenu hizo ni tabia za kigagula, mie binafsi sipendi kabisa mtu mwenye roho ya kwanini na huwa hawaendelei watu wa dizaini hizi!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Mnachotaka nyie ni kutulazimisha kumpenda ndomo eti kisa nyie mnapempenda,we mkubali ndomo m namkubali mwngne ndo maisha yanaenda,alafu mngejua maisha nnayoishi dah.!!!
 
Last edited by a moderator:
Maisha ya ku-fake mazuri sana maana mwisho unaumbuka oooh kitorondo anawakimbiza kina davido mbali kwa kura haya kiko wapi? Mwambieni arudi tu home asubiri kili awards abebwe tena
 
The problem with you guys mnadhani kila mmoja ana equal and same taste in music as everyone else!!! Mtu kama sio mpenzi wa muziki wa SA, how do you expect atawafahamu Mafikizolo? Mtu kama si mpenzi wa Nigerian Music, how do you expect him/her amfahamu Davido? Fanyeni research... msije mkashangaa hadi leo kuna watu hawawafahamu P Square lakini wanawafahamu wanamuziki wa kawaida kabisa kutoka Mashujaa Band!!! BInafsi, sikupata kabisa kuupenda muziki wa Congo ingawaje back 1990's ndo ulikuwa una-hit lakini sikuwahi kuupenda! Na kama si kwamba enzi zile, hatukua na choices kwenye TV, sidhani hata kama hao akina Bongoman ningewafahamu lakini kv ndicho pekee kilikuwa kinaoneshwa na hakuna option unalazimika hivyo hivyo lakini niulize nikutajie nyimbo 3 za Bongoman, sizijui....

Mwisho, si kweli, NARUDIA, SI KWELI unaposema eti "kabla minanawe hawajamtoa Lady Jaydee!" Minanawe hawajamtoa Lady JD... Minanawe walfanya kolabo na Jide wakati tayari Jide alikuwa kwenye peak!!! Still nakumbuka kwenye mashindano ya Miss Tanzania ambapo Minanawe walialikwa kutumbuiza... wakataka kufanya ki-star... Jide akabaki nyuma ya pazia akisubiria ifike sehemu yake ya kuimba ili atokeze kwa-surprise huku akitegemea full makofi! Kama kawaida ya Watanzania, wakamchunia... as if kaongia mtu wa kawaida sana hadi ikafikia Jide anaomba kupigiwa makofi!!!!

Ile siku aliyovaa shela yake ya sidiria na shela ya harusi yake lol!!

Alafu pili watu wanaponda kutumia uwingi eti wengi hatuwajui angesema yeye ndo kamjua Davido na Mafiki kwa Diamond .
 
Maisha ya ku-fake mazuri sana maana mwisho unaumbuka oooh kitorondo anawakimbiza kina davido mbali kwa kura haya kiko wapi? Mwambieni arudi tu home asubiri kili awards abebwe tena

Si anawabeba mamburura wenzie huko insta jana ndo kawachota nyota na Afisa habari wake jana kaja na mbwembwe za walk of fame kashushuliwa humu sidhan kama alirud tena...

Tatizo Domo analazimisha asifiwe visivyosifika na anapenda sana kudanganya.
Nakumbuka hata alipokuwa underground alipiga na lisanamu kule UK akajishaua ni ukweli watu wakamshushua... hicho ndicho watu wanaojielewa hawakipendi kuwafanya watu mazuzu... hakyanani angekuwa kama AY zile collabo na safari za nje tungekoma.
 
Unanijua au shobo.?
unadhani kama wwe unagombea maandazi ni wote.?

Teh teh teh labda Diamond unamfikia kwa kipi ndio tuendelee?
Mkuu nikujue labda utanisaidia nini Maskini tu wewe,,maana umekaa kichuki chuki tu hizo ni dalili za watu Maskini, Shobo wewe uliye niQoute kwasababu siku kujibu wewe.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Mnachotaka nyie ni kutulazimisha kumpenda ndomo eti kisa nyie mnapempenda,we mkubali ndomo m namkubali mwngne ndo maisha yanaenda,alafu mngejua maisha nnayoishi dah.!!!
Mapya haya... ulisikia wapi mtu analazimishwa kumpenda mwingine... hapa watu tunazungumzia chuki za hovyo kwavile tu mnaowashabikia hawakupata nafasi basi mnataka wengine wote wakose...
 
Ile siku aliyovaa shela yake ya sidiria na shela ya harusi yake lol!!

Alafu pili watu wanaponda kutumia uwingi eti wengi hatuwajui angesema yeye ndo kamjua Davido na Mafiki kwa Diamond .
Sasa naanza na mmoja mmoja... naanza na wewe kwanza!!!
1. Chanzo cha bifu lako ni Diamond kipi?
2. Chanzo hicho kimetokana na wewe binafsi au kama kwa Somji Juma ambae kwavile yeye ana mahaba kwa Ally Kiba na Ally Kiba ana bifu na Diamond, basi na yeye ana bifu na Diamond!!!!

qn... tuanze hapo kwanza manake nadhani humu kuna re searchable topics.
 
Last edited by a moderator:
Mnachotaka nyie ni kutulazimisha kumpenda ndomo eti kisa nyie mnapempenda,we mkubali ndomo m namkubali mwngne ndo maisha yanaenda,alafu mngejua maisha nnayoishi dah.!!!

Hujaambiwa unalazimishwa tatizo uandishi wako umejaa chuki halafu ni mtoto wa kiume wa Muhindi Somji. Maisha unayoishi ya ki Maskini ndio maana unachuki kwa kijana mwenzako mwenye mafanikio.

Diamond kajitahidi pale alipofika kuliko msanii yeyote yule east Africa hii kuwa nominated ktk awards mbili hilo pekee big up,,kashindwa kutokana na watu aliokuwa nao wamemzidi kwa kila kitu. Sasa umeshindwa kuandika hivi unaanza kumponda kwani we ameikosa hiyo Tuzo umefaidika na nini labda?



Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Teh teh teh labda Diamond unamfikia kwa kipi ndio tuendelee?
Mkuu nikujue labda utanisaidia nini Maskini tu wewe,,maana umekaa kichuki chuki tu hizo ni dalili za watu Maskini, Shobo wewe uliye niQoute kwasababu siku kujibu wewe.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

HahahahahahahahahahA..
Umasikini nausikia tu kwa watu kama nyinyi,na nna uogopa kama ukimwi,na siji kuupitia..

Tufunge mabishano,basi diamond kachukua tuzo ya BET,tupige makofi.....
 
Mapya haya... ulisikia wapi mtu analazimishwa kumpenda mwingine... hapa watu tunazungumzia chuki za hovyo kwavile tu mnaowashabikia hawakupata nafasi basi mnataka wengine wote wakose...

Mjinga huyo achana nae kakaa kichuki chuki na tabia zake za Kiswahili sijui za kike. Penye ukweli uongo anajitenga, Diamond kajitahidi kuliko msanii yeyote yule east Africa.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Si anawabeba mamburura wenzie huko insta jana ndo kawachota nyota na Afisa habari wake jana kaja na mbwembwe za walk of fame kashushuliwa humu sidhan kama alirud tena...

Tatizo Domo analazimisha asifiwe visivyosifika na anapenda sana kudanganya.
Nakumbuka hata alipokuwa underground alipiga na lisanamu kule UK akajishaua ni ukweli watu wakamshushua... hicho ndicho watu wanaojielewa hawakipendi kuwafanya watu mazuzu... hakyanani angekuwa kama AY zile collabo na safari za nje tungekoma.

Hahahaha qn of sheba you made my day

Umenikumbusha mbali kuhusu hilo sanamu kama sijakosea lilikuwa la Britney spears katika VMWA

Afu huyu afisa habari wake ndo anazidi kumuharibia maana ni mbulula kweli eti walk of fame haiji tokea aseee...! na media ndo zinapotosha kabisa juu take

Shame on you

Hata kama watu wanataka tupende na ku-support vya kwetu haya anayofanya kitorondo na crew yake siyaungi mkono, kwani kusema ukweli ni aibu mpaka udanganye? eti I have some Bill's in my account, this and that, nonsense kabisa

Hapatakalika mjini siku he wake up in new Bugatti...!
 
Last edited by a moderator:
HahahahahahahahahahA..
Umasikini nausikia tu kwa watu kama nyinyi,na nna uogopa kama ukimwi,na siji kuupitia..

Tufunge mabishano,basi diamond kachukua tuzo ya BET,tupige makofi.....

We Maskini tu ndio maana una chuki za wazi ungekua sio Maskini usingekua na chuki mwenzako kufanikiwa maana hiyo ndio dalili ya mtu Maskini. Teh teh teh mie Maskini sawasawa umepatia.

Nimekuuliza unamchukia nini Diamond hujanijibu.
1.mafanikio yake?
2.majigambo yake?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Diamond platnumz bado ni among the best in Africa we are proud of him, big up Diamond kaza next time uende tena

Hata akienda mara milioni hawezi kushinda kwa attitude hii ya waBongo kutotukuza vya kwetu. Its simple logic, waNigeria wako milioni 167, na wengine hawahesabiki wamesambaa dunia nzima, waNigeria wengi wana access na social media, na pia waNigeria wanapenda vya kwao, hata wale ambao wanaishi nje ya Nigeria huko Ulaya na Amerika. waTanznia tuko milioni 45, ziadi ya nusu hawana access na social media, na hatupendi vya kwetu plus wivu wa kijinga. Angalia waTanzania walio Ulaya na America wanavyoponda shoo za Diamond alizofanya huko...inashanga hata Aziz Nditi kapiga picha na Diamond alivyokuwa UK kwa pozi tele kisha kesho yake anamponda Twitter! Wakati kumbe yeye angeweza kumnadi apate kura nyingi tu kwenye mitandao ya kijamii...wivu wa kijinga! Another thing...hivi Diamond hakuwa na washauri!? heaven on desert ...utaingizaje wimbo kushindania tuzo category moja na mtu ambaye umemshirikisha kwenye wimbo wako!? That was double promotion for Davido..
 
Back
Top Bottom