Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 835
Kosa ni kusema kila mtu afanye kile apendacho?? Ndugu unakosea usiongozwe na hisia.
Wewe nani kwani? Na why uombe game na Mimi?? Just curious
Ahsante kushukuru.Kalale sasa.Usisahau kukojoa
Hivi JF kwa anonymous anakuwa mnafiki mtaani si ndio zaidi?? Huyu ni nyoka kibisa
* wewe mwenyewe unajua kuwa ishu nzima hapa ni chuki kwa Diamond kutoka kwa mashabiki wa kiba na haters wa diamond....
* mashabiki wa diamond hawawezi kupendezwa na mtu anaesambaza chuki na wivu dhidi ya Diamond kwa kisingizio cha kufanya akitakacho...naamini anavyoamua kupost hii topic alitegemea yatatokea...
* sijaongozwa na hisia, hiyo ni Fact..
mmhh..,tungo tata hyo.. Ok. Nshachojoa.
* wewe mwenyewe unajua kuwa ishu nzima hapa ni chuki kwa Diamond kutoka kwa mashabiki wa kiba na haters wa diamond....
* mashabiki wa diamond hawawezi kupendezwa na mtu anaesambaza chuki na wivu dhidi ya Diamond kwa kisingizio cha kufanya akitakacho...naamini anavyoamua kupost hii topic alitegemea yatatokea...
* sijaongozwa na hisia, hiyo ni Fact..
Sasa kama mmejua tuna akili ndogo si mziongeze ziwe nyingi?
Hakuna asiye na matusi ila kinachopaswa ni kutolerate utofauti wetu..
Unanijia huko na viroba vyako, ntakudharau nkishindwa nakunyea.Ila kwanini uniparamie.
Mimo nimeamua kuvote kwa Davido inakukera sana mpaka unitukane???.
Nimevunja sheria? Natumia bundle yako?
Kwanini unilazimishe nifanane na wewe??.
Uzuri wa jf miaka nenda rudi siku likikudondokea wanafiki wenzio wote wanakaa kimyaa!
Wanaishia pm tu.Mtu ashawahi kusutwa sijui kwanini habadiliki.
Mtu mbaya sana kuleta chuki na fitna anapoona hamna maelewano.
Hii tabia asipoangalia ataifanya mpaka nyumbani na ofisini kwake.
Mtaani kwetu mijitu kama huyu shankupe huwa inachomwa moto na majivu yake yanatupwa katikati ya bahari.
Kwanini muite chuki?
Kwani kupenda chenza ni kuchukia chungwa.
Jamani, hatuwezi kufanana.
Ina maana mtu usipopigia kura CuF ukapigia ccm maana yake una chuki na cuf au simply umependezwa na CCm??
Atakuwa anadhani wewe ni mtu fulani.
Potezea bwana.
Ndo hapo akili zao zinaponishindaKwanini muite chuki?
Kwani kupenda chenza ni kuchukia chungwa.
Jamani, hatuwezi kufanana.
Ina maana mtu usipopigia kura CuF ukapigia ccm maana yake una chuki na cuf au simply umependezwa na CCm??
Najua mda huu anapita kimyakimya ila salamu amezipata.Ndo hvo wanaokushadadia wote wanakua kimya wanaenda pm huko unabaki mwenyewe hyo tabia sio nzuri kabisa.
Na huyo mleta chuki na fitina anapenda mafarakano sijui anapata faida gani.
Nasikia unautaka ubunge wa viti maalum mkoa wa Singida ni kweli au wanakuzushia ??????Hii ni Baada ya washabiki Wa mwanamuziki Diamond Platnumz kusambaza uongo kwamba msaanii Wa Nigeria Davido hajapendezwa na mchango Wa kura kutoka Tanzania.
Pia msanii huyu ameonesha mapenzi kwa Tanzania kwa kuposti bendera ya Tz na kuweka ishara ya upendo.
Mimi ninashauri kila mtu afanye kile akipendacho. Kama unaona moyo wako unakutuma kumuunga mkono Diamond Fanya hivyo. Na kama unaona Davido ndio anakufaa Fanya hivyo.
Si vyema kupangiana maisha chini ya mwavuli Wa uzalendo.
Ndo hapo akili zao zinaponishinda
hadi wakenya wanatudharau View attachment 262065
Huyo naye aliopost huo utumbo embu akafie mbele huko eti "This Tanzanians are fools" english yenyewe ina matege, amesikia watanzania wote tuna support huu utumbo wakumvote davido badala ya diamond?
Wakati nima jinga flani flani hivi yaliyotoka huko yalikotoka yanajaribu kuzui mafuriko kwa mkono wakati diamond yeye anaendelea kushine tuu.
Go go diamond""!!!
Go Tanzania:sly: