Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Mode hawataki mchezo ....... Haaaaaa
Sa hivi inabidi wawe wana follow up sana huku celebrities
Sa hivi inabidi wawe wana follow up sana huku celebrities
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Axhana nao buanna japo wanaboa kimtindo na hizo attack zao. Kaahh alafu walivyo Wa ajabu eti wananiambia niwaombe samahan!! nani labda sio Mimi chotara Wa kipare na kiyaoUjue kuna watu wanajifanya wajuaji sana.Mtu anaku attack from nowhere ili nayeye aonekane amekuquote, kujikomba komba.
Yani leo ntabanikwa sio bure.Huyu anataka nipigwe ban sio bure.
Axhana nao buanna japo wanaboa kimtindo na hizo attack zao. Kaahh alafu walivyo Wa ajabu eti wananiambia niwaombe samahan!! nani labda sio Mimi chotara Wa kipare na kiyao
are u Mrembo by Nature with other ID?
Alafu kuna demu mmoja ni mnafiki hadi shetani anamuogopa....
wasi kuumize kichwa hao mambwiga hawana ishu achana nao!
Axhana nao buanna japo wanaboa kimtindo na hizo attack zao. Kaahh alafu walivyo Wa ajabu eti wananiambia niwaombe samahan!! nani labda sio Mimi chotara Wa kipare na kiyao
Is this ID written Mrembo by nature? What's wrong?
Yani huyu demu ni nyoka kazi kuchafua wenzake huko chumbani ila Mungu yupo yatamrudia yeye siku mojaDuuu! Hakunaga demu mnafiki kama yule africa nzima.
Zamani nilidhani wanamwonea aisee anatisha zaidi ya ukoma.
Na sura yake ya upole.
Haoa ndipo nakumbuka maneno ya nifah.
Mode hawataki mchezo ....... Haaaaaa
Sa hivi inabidi wawe wana follow up sana huku celebrities
Is this ID written Mrembo by nature? What's wrong?
@Hivi nyie wanaume, mnammiminia Mrembo by Nature matusi yote haya kwa kuwa ameamua kumpigia kura davido?
Jiulizeni je amevunja sheria?
Je anatumia bundle au device zenu?
Ally kiba anaingiaje?
Je mnataka wote wawe washabiki wa Diamond?
Naona mmeanza kasumba ya kutukana mwanamke yeyote anayeonyesha kusimamia nafsi yake inachopenda hasa katika burudani.
Hizo sehemu za kike mnazotukana mlitokea hukohuko!
Mnakera sana.Please acheni sehemu za mwanamke.Unamwita mtu malaya afu hata hujui anafananaje!
Its a shame.
Ongeeni hoja teteeni misimamo yenu,
Na nyie wanawake mnachekelea tuuuu... !
Naona wanataka tupungue ili wafaidike.Wasipingane wala kutofautiana si waanzishe forum yao???
Yani huyu demu ni nyoka kazi kuchafua wenzake huko chumbani ila Mungu yupo yatamrudia yeye siku moja
* Kila mtu anajua matusi...akitukanwa kwa sababu anasambaza ujinga wake anatakiwa kuwa mstaarabu na kujirekebisha...
* tumieni akili, kila mtu anawaona jinsi akili zenu zilivyo ndogo...
* Next time unashauri wanaume, angalia, nyie ndio mnahitaji ushauri zaidi...hamna aliewakataza kuvote kwa msanii yeyote..tambueni mwisho wa siku sio idadi ya kura zilizopigwa ndio zitaamua mshindi...
hata sijui nimeponaje, maana nilivurugwa..
Ujue kuna watu wanajifanya wajuaji sana.Mtu anaku attack from nowhere ili nayeye aonekane amekuquote, kujikomba komba.
Yani leo ntabanikwa sio bure.Huyu anataka nipigwe ban sio bure.