Eshy m.s
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,926
- 1,560
* Nyie acheni wivu na chuki zenu....Kiba hayupo kwenye category yoyote kwenye hizi Tuzo...mnachofanya ni ku-payback hasira mlizonazo....hasira hasara....
* Ingekuwa ushabiki wa kawaida kwa Davido isingekuwa hivi ilivyo kwenye social media....
chuki mbaya Sana ukiiendekeza, unaweza kuona mambo yako hayafanikiwi kwa sababu ya roho mbaya na chuki zisizo za msingi..