Walianza kufeli kwenye jinaAfrica Swahili TV (ASTV)
Sio zama hizi.Kuna ukwepaji kodi mkubwa hapo, wameamua kuibadilisha jina ili kukwepa kodi TRA nendeni mkafanye ukaguzi kama kabla ya kuuzwa kulikuwa na madeni ya nyuma,
Celten=Airtel
HSC=GSM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli maisha yanaenda kasi sana mchaga ana tapeliwa na mgogo
ASTV ( Africa Swahili Television )Mwanzoni ilikuwa inaitwaje hyo tv
Watu wamekariri tu kodii kodiii...... wakati ilikua test transmission.Kodi gani, maana ASTV ilikua bado kwenye testing transmission
Unafikiri ukwepaji kodi na upigaji ma deal umeisha?
Mkuu hujaona tamko la lemutuz anasema haters mliedit picha yake ili aonekane miguu yake membamba kwenye shuhuli ya nyumba ya imaniAhhha haaaah aisee
Ni personal secretary sio private secretaryHuyu Lemutuz kutokana alikuwa Baharia na kukaa nje kiani pia kuwa mtoto wa mzee wetu Malecela , pia ni mjuaji mjuaji sana kwahiyo watu wengi wanaingia KINGI , Pia ni Private secretary wa Naibu RAIS.
Sijaiona mkuu amenipga block miezi 2 sasa,aaah Le fitoz anasema wamedit?Mkuu hujaona tamko la lemutuz anasema haters mliedit picha yake ili aonekane miguu yake membamba kwenye shuhuli ya nyumba ya imani
Celten ndio nini na weweKuna ukwepaji kodi mkubwa hapo, wameamua kuibadilisha jina ili kukwepa kodi TRA nendeni mkafanye ukaguzi kama kabla ya kuuzwa kulikuwa na madeni ya nyuma,
Celten=Airtel
HSC=GSM
Kumbeee!!!ASTV ( Africa Swahili Television )
Ndio mwenye mabasi ya Swahili pia au??Swahili Tv.
Google kama vipiCelten ndio nini na wewe
Kwani wewe ni KE?Le kibamiaz anasababisha wanaume wanene waonekane kanjanja
Davis mosha.. Hapa umenifumbua macho.. Nilikuwa na mawazo Sana juu ya jina hili.. Sio geni... Thanks mkuu wakat nikiwa moshi nilipata kumuona mtu huyu akifanya kampeni but sikuwahi fikiria Kama alikuwa mmiliki wa ASTV... ila wachaga hatuibiwi kirahisi hv jaman... Mosha sijui alichanganyikiwa nn kudanganywa na le mibebezLe Mutuz alikuwa kampaini meneja wa Davis Moshi akiwa anagombea ubunge wa Moshi mjini. Matokeo wote mnayajua.
Le Mutuz kwa mdomo wake alisema mambo ya social media alijifunza kwa kujisome vitabu vya library sasa ni ashindwa kuelewa reasoning ya Davis Mosha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha rangi ya mtume yoy know!![emoji1] [emoji1]
Wewe ulitueleza mada ya vifaa vya TV station na machine za kupumzikia kwa jina la kitaam vitiAhhha haaaah aisee