Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Huyu Lemutuz kutokana alikuwa Baharia na kukaa nje kiani pia kuwa mtoto wa mzee wetu Malecela , pia ni mjuaji mjuaji sana kwahiyo watu wengi wanaingia KINGI , Pia ni Private secretary wa Naibu RAIS.
Ni personal secretary sio private secretary
 
Le Mutuz alikuwa kampaini meneja wa Davis Mosha akiwa anagombea ubunge wa Moshi mjini. Matokeo wote mnayajua.

Le Mutuz kwa mdomo wake alisema mambo ya social media alijifunza kwa kujisome vitabu vya library sasa ninashindwa kuelewa reasoning ya Davis Mosha.
 
Davis mosha.. Hapa umenifumbua macho.. Nilikuwa na mawazo Sana juu ya jina hili.. Sio geni... Thanks mkuu wakat nikiwa moshi nilipata kumuona mtu huyu akifanya kampeni but sikuwahi fikiria Kama alikuwa mmiliki wa ASTV... ila wachaga hatuibiwi kirahisi hv jaman... Mosha sijui alichanganyikiwa nn kudanganywa na le mibebez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…