Biashara yeyote inayotaka technical know-how
Kama ya media,engineering,technology,innovation,manufacturing,consulting,law,education,medical,banking na kwa mbali construction...
Mosha hakatizi,atatia aibu...ndio maana katia aibu kwenye Swahili Media!
Karusha mguu mtu chali kauza!....Wakati Tido ana-run huo upuuzi kwa simu akiwa anakunywa kahawa nyumbani!...
Kwa haraka haraka tu,naona Mosha hana knack of identifying professional talent na kuwasimamia,hawezi...ni mpuuzi mno to do that!
Yeye asimamie madereva wake,aweke tracking kwenye magari na matanki ya magari wasimuibie mafuta ya wateja wakati anayapeleka DRC....
Ni simple,alichukua hela benki,kanunua magari baada ya kupata mkataba wa Kobil...ndio anakimbizana na magari,na yana insurance,yakianguka anarudishiwa mengine....
Hapo ni asali Kobil wasimnyang'anye mkataba maana atakua mchimba chumvi mzoefu.
Ana nini kingine?Bureau De Change?Sheli?Magari yameandikwa majina yake?Nigga puliiiiz....Who cares?