DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Tunaomba utulivu, huyu wakala wa mabeberu yuko na Kagame

1705436106830.png

1705436149681.png
President Kagame met with President Volodymyr Zelensky and discussed the ongoing situation in Ukraine and efforts to resolve the conflict
 
Kajinga sana haka kajamaa. Nguvu hakana, halafu kanaamua kujitutumua! Ona sasa kanavyo hangaika huku na kule kutafuta msaada!

Mabeberu wenyewe aliokuwa anawategemea, wote wanapumulia mashine! Kutokana na ujinga wake, kamesababisha bei ya vyakula na mafuta kupanda maradufu!! Hopeless kabisa.
 
Tunaomba utulivu, huyu wakala wa mabeberu yuko na Kagame.
View attachment 2873947
Kwani huyo kagame mwenyewe si kibaraka wa mabeberu? Pamoja na usanii kujifanya mwana afrika atafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wampe pesa. Mungu apishilie mbali samia asije mkaribisha zelensky dar es salaam au sivyo atajitilia sahihi na kuondoa shaka kwa wanamapinduzi ndani na nje ya chama cha mapinduzi kama naye ni kibaraka wa magharibi.
 
Kajinga sana haka kajamaa. Nguvu hakana, halafu kanaamua kujitutumua! Ona sasa kanavyo hangaika huku na kule kutafuta msaada!

Mabeberu wenyewe aliokuwa anawategemea, wote wanapumulia mashine! Kutokana na ujinga wake, kamesababisha bei ya vyakula na mafuta kupanda maradufu!! Hopeless kabisa.
Ebu tueleze ujinga wake.
 
Kajinga sana haka kajamaa. Nguvu hakana, halafu kanaamua kujitutumua! Ona sasa kanavyo hangaika huku na kule kutafuta msaada!

Mabeberu wenyewe aliokuwa anawategemea, wote wanapumulia mashine! Kutokana na ujinga wake, kamesababisha bei ya vyakula na mafuta kupanda maradufu!! Hopeless kabisa.
Wewe ndiye mjinga iwapo unadhani mtu kupigania nchi yake ni ujinga. Yaani kama wewe ungekuwa mtoto wa kiume basi jamaa linaweza kuingia nyumbani kwako likalala na mke wako kwenye kitanda chako halafu wewe ukajikunja sebuleni kwa kujiona huna nguvu huwezi kujitutumua.
 

Rais wa Ukraine Zelensky yuko Afrika Mashariki, atembelea Rwanda​


Acha upotoshaji, halafu kuna watu wamekubali, umepata faida gani???

Zelensky meets presidents of Singapore, Rwanda for the first time​


President Volodymyr Zelensky met with the leaders of Singapore, Tharman Shanmugaratnam, and Rwanda, Paul Kagame, for the first time on the sidelines of the Davos forum on Jan. 16

Presidents Kagame and Zelenskyy Meet at World Economic Forum​


During the World Economic Forum in Davos, Switzerland, a significant diplomatic engagement took place as Rwanda’s President Paul Kagame met with Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy.


 
Wewe ndiye mjinga iwapo unadhani mtu kupigania nchi yake ni ujinga. Yaani kama wewe ungekuwa mtoto wa kiume basi jamaa linaweza kuingia nyumbani kwako likalala na mke wako kwenye kitanda chako halafu wewe ukajikunja sebuleni kwa kujiona huna nguvu huwezi kujitutumua.
Unatumia mfano wa mke kutaka kujustify usichokijua...? Tafuta maarifa kwanza sio stories za vijiweni
 
Unatumia mfano wa mke kutaka kujustify usichokijua...? Tafuta maarifa kwanza sio stories za vijiweni
Hujui unaloandika; wewe ni mfuata propaganda tu. Huwezi kusema mwenzio ambaye ni kiongozi wa nchi iliyovamiwa na anajitahid kupigania nchi yake ukasema eti ni kibaraka. Unajua aliingiaje madarakani mpaka kuwa rais wa Ukraine? Ukraine siyo Urusi ambayeo Rais wake ni mtu mmoja tu, Ukraine kila baada ya miaka mitano inafanya uchaguzi na rais anaweza kuwa mtu yeyote yule.
 
Back
Top Bottom