Comedian president, Zelensky very arrogant ever, yaani US wanamdanganya, kaingiza nchi yake katika vita na kuua kabisa nchi nzuri ya Ukraine, sbb ya ujinga tu wake, leo ana hangaika na kujuta hakuna wa kumsaidia, hata ndevu kunyoa tu hana muda na hawezi sbb ya shida aliyoleta ya Vita Ukraine, yaani kulikuwa hakuna sbb ya vita hii ya Ukraine kabisa, ila sbb huyu ni Bongolala ndio kaingizwa mjini na US, inaumiza sana kaua nchi nzuri kabisa Ukraine, leo Ukraine ni magofu sbb ya huyu mtu anaitwa Zelensky, hafai kabisa kuwa hata mwenyekiti wa mtaa huyu