Nimescreenshot hii.. Nitafanyia kazi at my own risk, asante mkuuKuna mahala niliona video;
1. Chukua ndizi 1 iliyokomaa Vzr
2. Ichomee hadi iwe kama mkaa iungue
3. Saga/ponda iwe unga
4.chukua unga huo changanya na asali
5. Tumia asbh, mchana na jioni kwa siku 14-20 utapona kbs.
Angalizo;
Try it for your own risk.
Zingatia masharti usile vyakula vyenye asidi kula kwa wakati choma sindano ya pantoprazole kula sana parachichi anza kliniki muhimbili au temeke kama upo dar es salaam hakika utapona inshallahAhsante mpka nalose weight aiseee nkila kidogo tu nashiba nkijilazmisha naskia kichefuchefu Sina appetite kabisa Na chakula Na nkinywa vitu baridi soda Maji naumwa tumbo balaa
Sister tumia juice ya cabbage,blend na maji kidogo na unywe bila kuchuja. Glass mara 2 kwa siku 30 utakuja kushukuru hapa,isikae zaidi ya siku 2 kwa fridge. Ukiweza kutengeneza fresh kila siku itakua poa zaidi.Ahsante mpka nalose weight aiseee nkila kidogo tu nashiba nkijilazmisha naskia kichefuchefu Sina appetite kabisa Na chakula Na nkinywa vitu baridi soda Maji naumwa tumbo balaa
Juice ya cabbage sister,angalia comment yangu hapo juu.Nimescreenshot hii.. Nitafanyia kazi at my own risk, asante mkuu
Kuna MTU juzi kaniambia kuwa bangi inaponyessha vidonda vya tumbo, unachukua majani yake na kuchemshaAisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Then baada YA muda gani ukawa husikii maumivu ukila izo pilipiliNasikia.
AminaZingatia masharti usile vyakula vyenye asidi kula kwa wakati choma sindano ya pantoprazole kula sana parachichi anza kliniki muhimbili au temeke kama upo dar es salaam hakika utapona inshallah
Sawa ahsante nitatumiaSister tumia juice ya cabbage,blend na maji kidogo na unywe bila kuchuja. Glass mara 2 kwa siku 30 utakuja kushukuru hapa,isikae zaidi ya siku 2 kwa fridge. Ukiweza kutengeneza fresh kila siku itakua poa zaidi.
Duh!Kuna MTU juzi kaniambia kuwa bangi inaponyessha vidonda vya tumbo, unachukua majani yake na kuchemsha
Thank you mkuu, wacha nayo ni itunze... Maana vidonda vya tumbo ni changamoto sana..Juice ya cabbage sister,angalia comment yangu hapo juu.
Usisahau kuleta mrejesho hapa.Thank you mkuu, wacha nayo ni itunze... Maana vidonda vya tumbo ni changamoto sana..
Yes mkuu, nitaletaUsisahau kuleta mrejesho hapa.
Very very serious sio utaniDuh!
Hapana mkuu utajiumiza sanaWhat if hakuna supu siwezi ichemsha Na Maji au
Hata za wilaya zipo ila kwenye zahanati hakunaHili nalo kumbe janga la taifa.
Kuna mtu kasema mayai mabichi mmh!!. Nilikulaga siku Moja tumbo lilinikata kama vile mtu anavisu ananikata navyo, sijayarudia mpka tena.
Hivyo vipimo wanapima hospital za Serikali hizi za wilaya au private!?. Endoscopy na hiyo gastroscopy
😀😀😀Nilinusurika kupotea kwa sababu ya hili tatizo, ila nilipata TIBA mahali.
Ugonjwa huu una stage zake, na utofautiana TIBA kulingana na stage iliyopo.
1. Kuna kutibu majeraha yaliyopo kwenye utumbo mdogo na tumbo lenyewe.
2. Kuna kuzuia acid isizalishwe kupita kiasi au kuweka msawazo wa acid inayozalishwa.
3. Kuna kuwaondoa bakteria wa H-pyrol na kujikinga wasijirudie.
4. Kuna kupata maelekezo ya mlo wakati wa TIBA.
Hivyo basi kila mmoja anatibiwa kutokana na hali yake, TIBA iliyonisaidia ninaiuza mpaka sasa. Mwenye changamoto awasiliane nami kwa njia wa Whatsapp
+255679448434.
ANDIKA NENO “VIDONDA VYA TUMBO” ili upate huduma haraka kwani nina jumbe nyingi sana.
TIBA inapatikana mikoani pia maana kuna matawi yetu huko.
KUPONA NI HAKIKA
Ngoja nimwambie ndugu yangu ajaribu hiiiVery very serious sio utani
SawaNgoja nimwambie ndugu yangu ajaribu hiii
Jana nlivotoka Kazin jioni Kwa eneo nliloppo nlikosa bamia Na cabbage Kwa muda ule...Ila nlibahatika kupata majani ya mashona nguo yamejiotea mengi Sana nje ya fence.....nikachuma majani kidogo nikachemsha glass moja Na asubuhi nikachemsha glass moja nikanywa..........kiukwel nimepata nafuu kubwa ukilinganisha Jana pia nimekua Na appetite Kali nakula Sana Na kuskia njaa sanaNgoja nimwambie ndugu yangu ajaribu hiii