Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Ulaji wa ndizi na maji ya moto asubuhi inasaidia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua pm mkuuHata ambaye aliniletea, aliniambia ukitaka dawa niambie nikienda nyumbani nikakuletee usinunue Kwa wanaotembeza.. Nimeamini alichokua anakisema
Tengeneza juice ya cabbage mkuu,glass 1 asubuhi,1 jioni kwa siku 30.Wakuu kuna mtu aliyepona huu ugonjwa kwa kutumia moja ya dawa zilizotajwa humu?
Nasikia watu wanasifia bamiaAisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Kuna mahala niliona video;Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Ina Maana huamini kama pilipili ni tiba ya hayo madonda?Mkuu kama huna cha kusaidia au kutoa ushauri ni bora ukatulia kuliko kuandika hiki.
Ulikua unatumiaje maana nkila tu chakula chenye pilipili naumwa Sana tumboNilishawahi kuugua vidonda vya tumbo. Nimepona kwa kula pilipili kali za mwendokasi.
Watu wengine wenye uelewa wa haya mambo watakuja kufafanua tiba ya pilipili.
Hunijui sikujui sina sababu ya kukudanganya
Pole sanaUlikua unatumiaje maana nkila tu chakula chenye pilipili naumwa Sana tumbo
😂😂😂cha msingi umeponaAisee mi vimenisumbua mda sana nilivyoanza kunywa bia na kuzingatia vyakula na mda wa kula tumbo liko poa kabisa
Weka ndani ya supu kunywa at a time maumivu yanakataUlikua unatumiaje maana nkila tu chakula chenye pilipili naumwa Sana tumbo
😂😂😂cha msingi umepona
Mungu ni mwema😂😂😂cha msingi umepona
Ulitumiaje inavowasha mdomon sipati picha kwenye kidondaHata mimi hii ilinisaidia.
What if hakuna supu siwezi ichemsha Na Maji auWeka ndani ya supu kunywa at a time maumivu yanakata
Kila chakula pilipili ya kutosha. Vikapotelea wapi sijui.Ulitumiaje inavowasha mdomon sipati picha kwenye kidonda
Ahsante mpka nalose weight aiseee nkila kidogo tu nashiba nkijilazmisha naskia kichefuchefu Sina appetite kabisa Na chakula Na nkinywa vitu baridi soda Maji naumwa tumbo balaaPole sana
Ulikua usikii maumivu ukila pilpiliKila chakula pilipili ya kutosha. Vikapotelea wapi sijui.
Nasikia.Ulikua usikii maumivu ukila pilpili