Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Dawa ya kwanza kabisa ambayo inafany kazi vizuri kwa vidonda vya tumbo ni juice ya cabbage\kabeji. Kata cabbage vipande vidogo vidogo kisha weka kwenye blender saga vizuri na maji kiasi,kunywa glass 1 asubuhi na 1 jioni,vidonda vitatulia kabisa. Dawa ya pili punguza stress na mawazo especially kuhusu ugonjwa wako na pia usisahau kula vizuri. Chanzo kikubwa ch vidonda vya tumbo hasa vinavyosababishwa na H plyori ni upungufu wa acid tumboni,acid ikiwa ya kutosha H Pyori akiingia huwa anakufa,kama acid ipo kidogo ana survive n kuanza kukusumbua tumboni.

Ukitumia magnesium na ndugu zake kama zile Gel zinapunguza au kuathiri uzalishaji au ukali wa acid tumboni,mgonjwa unapata nafuu ya muda lakini mdudu pia ana survive na kuendelea kukutesa. Tunahitaji matumbo yetu yazalishe acid za kutosha ili kuzuia survival ya wadudu wa kigeni. Sababu zinazo athiri acid production tumboni ni pamoja na unywaji pombe kupita kiasi,matumizi ya antibiotics ya mara kwa mara nk. Tumia juice ya cabbage kwa mwezi mzima kisha ulete mrejesho,baada ya hapo ntakuelekeza kutengeneza cabbage iliyo chachushwa.

Cabbage iliyo chahushwa itakusaidia kurejesha balance ya bacteria wazuri ndani ya tumbo lako,hii haiko nzuri sana kwenye kutuliza na kuponya vidonda vya tumbo. Kama soko lipo wazi nenda kanunue sas hivi ili usiku wa leo uweze kulala kama mtoto. Dawa ni imani pia,usiichukulie juice ya cabbage poa,fanya kama unakunywa ile Gel yako ya bei mbaya.
 
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Kama hujapona bado nitafute mimi kwa wakati wako nikupe dawa yangu upate kupona vidonda vyako vya tumbo uguwa pole.
 
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Madawa ya hospital sio mazuri kwenye vidonda vya tumbo anyway kila mtu aamini anachokiamini kitamponya
 
Poleni sana wote mnaosumbuliwa na tatizo hili la vidonda vya tumbo sijawahi kulipata ila kwa jinsi navyosikia simulizi za ugonjwa huu kwa hakika wengi wanapata sana tabu

Nilichokijua kwenye maisha mshukuru sana Mungu kwa kukupa afya njema, vinginevyo vyote vinavyobaki ni extra

Unaweza kuwa na hela nyingi lakini ndio hivyo unasumbuliwa na ugonjwa kama vidonda vya tumbo, basi unakosa raha

Unaweza kuwa na mwili au mwonekano wa kininja ila ndio hivyo nguvu za kiume chenga, unakosa amani n.k

Kuna wakina sisi ambao kila aina ya msosi tunakula sijui hizo dagaa, maharage etc. Hakuna cha aleji wala nini na siku nikiyumba kukaa na njaa kawaida hata mchana kutwa fresh au usiku kucha no stress

Sipati picha mtu anayeteseka kisa ugonjwa huu hali yake inakuwaje😔

Poleni sana na Mungu awe tabibu mkuu mpone kabisa
 
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Kama upo Dar, nenda hospital Fulani ya wakorea nadhani
Ipo Kibaha..huko wana dawa zao nzuri sana na wanaclinic ya massage hizo sehemu zote zinazokuuma,,ndani ya mwezi tu utavisahau.
 
Members humu kwema? Kwa ambaye amepata dawa ya vidonda vya tumbo anifahamishe vinanitesa sana, hapa mwili umeisha, nimeshatumia madawa ya kila Aina sasa umeshaangusha hata uchumi wangu, inshort ni maumivu usiku na mchana hakuna amani , mwenye kujua dawa anisaidie tafadhari
 
Mimi vilinisumbua Sana kiasi nikianza kupata maumivu, mpaka ninywe dawa ndio vinatulia. Nilishauriwa nipunguze mawazo, nile chakula kwa wakati yaani nisisikie njaa na pia nifanye mazoezi. Kwakweli mpaka Leo hii, vidonda vya tumbo nasikia Tu wengine wakilalamika lakini Mimi sina.
Kwa hiyo umepona bila kutumia dawa??
 
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Uko mji gani?
 
Members humu kwema? Kwa ambaye amepata dawa ya vidonda vya tumbo anifahamishe vinanitesa sana, hapa mwili umeisha, nimeshatumia madawa ya kila Aina sasa umeshaangusha hata uchumi wangu, inshort ni maumivu usiku na mchana hakuna amani , mwenye kujua dawa anisaidie tafadhari
Tumia hii baada ya siku saba ulete mrejesho humu na sio kwangu.
1.asali mbichi
2.mayai mabichi ya kienyeji 21
3.Maziwa mabichi
4.Viazi mviringo
Dose ni ya siku saba
Jinsi ya kutumia asubuhi,mchana, jioni/usiku
Mchanganyiko
Yai moja chukua kiini cha njano tu (york ), kijiko kimoja cha asali, kiazi kibichi kimoja, maziwa mabichi robot glass
Menya kiazi kikatekate kama viazi vya chipsi then saga kama una blender au twanga kama una kile kijikinu kidogo, mimina hicho kiazi kwenye glass yenye robo maziwa mabichi, mimina kile kiini cha njano ndani ya glass yenye kiazi kilichosagwa pamoja na maziwa mabichi,weka kijiko kimoja cha asali mabichi ,koroga then kunywa huo mchanganyiko, rudia kwa kutengeneza upya asubuhi,mchana, jioni/usiku kwa siku saba then ulete mrejesho humu, wengi huishia day 5 wanapona kabisa but we we fika day 7
 
Members humu kwema? Kwa ambaye amepata dawa ya vidonda vya tumbo anifahamishe vinanitesa sana, hapa mwili umeisha, nimeshatumia madawa ya kila Aina sasa umeshaangusha hata uchumi wangu, inshort ni maumivu usiku na mchana hakuna amani , mwenye kujua dawa anisaidie tafadhari
DR Mambo Jambo
 
Naendelea kusoma comments. Naweza pata dawa labda leo
 
Nilikuwa siwezi kula mahindi ya kuchoma, siwezi kula maharage mfululizo, siwezi kula dagaa, siwezi pilipili,
Na maisha ya hapa nyumbani maharage ndio kwa sana,
Nilitumia kila aina ya dawa za kienyeji mfano mafuta ya kondoo, asali ya nyuki wadogo, juisi ya kabichi, maji ya vuguvugu kila asubuhi, na majanimajani naletewa nnayoambiwa , na kushauriwa kula kwa wakati kutoacha tumbo wazi,

mwisho nmepona sijui dawa iliyonponesha,, au kilicho ponesha , nakula vyote nlvyokuwa Sili, kinachomsumbua sasa ni kiungulia tu tena kinanisumbua nnapokula maharage alafu nisile tunda....
Namshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom