mimi sitibu na wala sina elimu yoyote ya utabibu chiefInbox kufanya nini? Unashindwa Vipi kupost hapa?
Ili iweje? Umezuiwa na Nani kushare hapa?
Shangaa wewe, miye ndio nashindwa kuwaelewa kabisa.
Ila kuna mtalaamu mmoja namfahamu alisaidia ndugu yangu kwa hiyo nimemwambia lee akiendelea kupata changamoto anione nimpe mawasiliano ya huyo mtaalamu huwenda akamsaidia
sioni kama ni busara kuweka mawasiliano ya mtaalamu hapa kwa kuwa sijamuomba kufanya hivyo chief