Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Naona tatizo limekuwa kubwa hasa Bongo, Mimi sina dawa ya kuponya lakini kings ukitaka usiumwe vidonda vya tumbo kinga ipo.

Ukitaka usipatwe kabisa na vidonda vya tumbo tumia anti gas, na matunda yanayosaidia kuondowa gesi tumboni, hata ndizi mbivu ni nzuri haina citric acid, kwenye chai na maji tumia limao hii ni nzuri sana.

Kwa sasa Mimi natumia vidonge Anti ,acid huwa naletewa kutoka Marekani, ni vidonge viwili kila baada ya wiki mbili unaweza kuvimezea na maji au kuvimezea na bia, issue ya gas tumboni Marekani,walishamalizana nayo kitambo Tu.

Kama Una mtu Marekani akutumie Kwa wingi vidonge hivi upati vidonda vya tumbo kamwe.

Halafu muelewe kujamba ni ahuweni Kwa tumbo lako, mbaya wa tumbo ni gas.
 

Attachments

  • IMG20240120141012.jpg
    IMG20240120141012.jpg
    965.7 KB · Views: 28
Naona tatizo limekuwa kubwa hasa Bongo, Mimi sina dawa ya kuponya lakini kings ukitaka usiumwe vidonda vya tumbo kinga ipo.

Ukitaka usipatwe kabisa na vidonda vya tumbo tumia anti gas, na matunda yanayosaidia kuondowa gesi tumboni, hata ndizi mbivu ni nzuri haina citric acid, kwenye chai na maji tumia limao hii ni nzuri sana.

Kwa sasa Mimi natumia vidonge Anti ,acid huwa naletewa kutoka Marekani, ni vidonge viwili kila baada ya wiki mbili unaweza kuvimezea na maji au kuvimezea na bia, issue ya gas tumboni Marekani,walishamalizana nayo kitambo Tu.

Kama Una mtu Marekani akutumie Kwa wingi vidonge hivi upati vidonda vya tumbo kamwe.

Halafu muelewe kujamba ni ahuweni Kwa tumbo lako, mbaya wa tumbo ni gas.
Hivi ni vizuri sana nilitumia Nika kaa sawa kama miezi 7 si nikaanza kulewa pombe kalii na kula nyanya na vitu vyenye gesi aloo vikarudi Tena ila saivi Nina afadhali sana
 
Someni mnaosumbuliwa, falsafa ya vidonda vya tumbo.

Tatizo la wenye vidonda vya tumbo ni harakaharaka, yaani kuona kama kukaa dakika kadhaa kupumzika hauna huo muda!

Muda wa kujisomea kwa utulivu, wala go go go, work work work. Heeeey, pause, relaaaax.

Ngoja, nnaliweka sawa.

Vidonda aina zote hupona mtu anapopumzika, mtu anapolala kwa mfano. Rest.

Anyway kama kweli patience bado ipo someni hapa: Vidonda vya tumbo: Je? Unajipatia pumziko linalohitajika kuhuisha afya? – Sahili
 
Na humu ndani mtaambizana kila aina ya dawa na kila aina ya jani kuwa ni dawa.

Na ni kweli kabisa, NI DAWA!

Maana ni kawaida ya mwili kupona vidonda hivi vya kawaida vya hapa na pale. Ukikaa hivyohivyo usifanye kitu utapona! Na pia ukiweka jani lolote tu unapona! Yeah, unapona kwa sababu ni kawaida ya vidonda kupona.

Kisipopona chochote, hata kiwe cha tumbo sasa ni wakati wa kujiuliza, ninakosea wapi? Ni kipi ninafanya(au sifanyi) kinachopelekea mwili usipone vidonda kama kawaida
 
Njoo kwangu.
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Mm mwenyewe niliteseka sana.nilifikia hadi hatua ya kujisaidia blood clot.ila sasa niko poa nadunda vzr kbsa.njoo inbox kwa maelekezo zaidi
 
Nilishawahi kuugua vidonda vya tumbo. Nimepona kwa kula pilipili kali za mwendokasi.

Watu wengine wenye uelewa wa haya mambo watakuja kufafanua tiba ya pilipili.

Hunijui sikujui sina sababu ya kukudanganya
Irie rasta
 
Nadhani dawa ni maziwa mimi kazini muda wote nina chupa ya maziwa nusu lita kila siku the whole day nakunywa kama maji vile vidonda sijavisikia muda mrefu nahisi kupona
 
Kuna mtu wangu wa karibu ambaye ana ulcers zile chronic, siku zikiamka huwa anachukua majani ya mlonge na mstafeli, anayatwanga na kuyachemsha pamoja, baada ya hapo huwa anakunywa na vinapoa faster

Hii ndio nimethibitisha 100%
Majani ya mlonge mimi nakula mara moja moja kama mboga, lakini pia muda mwingine nayakausha kivulini baadaye nayapondaponda kisha ile powder yake huwa naitumia kama tea leaves na chemsha ikiwa nimechanganya na tangawizi fresh kisha natumia asali kama mbadala wa sukari. Huwa najisikia vizuri sana nikitumia hii kitu.
Lakini simaanishi kwamba hii ni tiba ya vidonda vya tumbo
 
Hizi dawa zilinisaidia kupona ila kabla ya kutumia ni vizuri ukakutana na wataalam wa afya.
Pantroprazole Tablets 40 mg.View attachment 2876463
Dakari wangu alinambia nimeze heligo kit wiki mbili halfu 1
Hizi dawa zilinisaidia kupona ila kabla ya kutumia ni vizuri ukakutana na wataalam wa afya.
Pantroprazole Tablets 40 mg.View attachment 2876463
Hua madondayananipata kwa nyakati tofauti ila dozi niliyotumia ni Heligo kit (original siyo ile ya kukusanya mabox tofauti ya dawa) kwa wiki 2 na pantoprazole kwa wiki 1 au 2.
Ila hakikisha chakula unachokula ni kizuri, hii ni kama Ulcers yako ni ya infection.
Kachumbari, pilipili za mtaani na mboga yavmajani iliyopoa siyo nzuri kabisa.
Kila siku utakua unapata infection mpya. Muda wa dozi jitahidi ule vizuri ingawa hamu ya chakula hua inapotea.
Pia jitahidi upate ushauri wa daktari bingwa.
Pole sana. I wish you a quick recovery.
 
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.

Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Kuepuka msongo wa mawazo.
 
Kuna mtu wangu wa karibu ambaye ana ulcers zile chronic, siku zikiamka huwa anachukua majani ya mlonge na mstafeli, anayatwanga na kuyachemsha pamoja, baada ya hapo huwa anakunywa na vinapoa faster

Hii ndio nimethibitisha 100%
Inaponyesha kabisa au inatuliza tuu?
 
Njoo kwangu.

Mm mwenyewe niliteseka sana.nilifikia hadi hatua ya kujisaidia blood clot.ila sasa niko poa nadunda vzr kbsa.njoo inbox kwa maelekezo zaidi
Inbox kufanya nini? Unashindwa Vipi kupost hapa?
Pole Lee
VIkiendelea kukusumbua nicheck
Ili iweje? Umezuiwa na Nani kushare hapa?
Sasa wakuu mnaosema tuje DM kwanini msitusidie hapa hadharani wengi tujue na naamini hili tatizo linasumbua wengi nao wanasoma huu uzi na kujifunza.
Shangaa wewe, miye ndio nashindwa kuwaelewa kabisa.
 
Back
Top Bottom