Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa ni balaaa ileeTatizo zinachosha Sana, inabidi ule ushibe kwelikweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ni balaaa ileeTatizo zinachosha Sana, inabidi ule ushibe kwelikweli
Nasikia inabidi usile siku nzima kabla ya kufanyiwa, Ni kweli?😁🤣🤣Ukienda kupima usiogope my sister kaza roho mie nilikuwa naogopa kwa sababu nilikuwa Nina presha sana 😭🤣 ila ni Moja wapo ya vipimo ambavyo viko vizuri sana yaani inaonesha Kila kitu tumboni
Sipati Mkuu hiyo ni Dalili ya gastric na sio vidonda vya tumboKuna mda maumivu ya mgongo na vichomi unapata?
Hujawahi kutumia za kimasai??Kabisa ni balaaa ilee
Hapana ni usile asubuhi tu unapenda kupima ukimaliza vipimo we kula tu ila ganzi yake wanapuliza mdomoni domo linawamba linakuwa kuuubwa 🤣🤣😭😁Nasikia inabidi usile siku nzima kabla ya kufanyiwa, Ni kweli?
Nililjaribu Moja kumbe ni dawa ya kuongeza nguvu pendwa wale wa Masai walinipiga pesa yanguHujawahi kutumia za kimasai??
Kama hivyo sawa 😃😃Hapana ni usile asubuhi tu unapenda kupima ukimaliza vipimo we kula tu ila ganzi yake wanapuliza mdomoni domo linawamba linakuwa kuuubwa 🤣🤣😭😁
Usinimbie ulifanya kurudia na kurudia tena😂😂Nililjaribu Moja kumbe ni dawa ya kuongeza nguvu pendwa wale wa Masai walinipiga pesa yangu
Vingekomaa ungekuwa unatoa damu Mkuu kipimo sahihi cha vidonda vya tumbo ni endoscopy na barium meal na sio kipimo cha damu maana kile kinapima wadudu wa hpyrolMi nilipima hospital tatu wanasema vidonda vimekomaa lakini dawa nikapewa zilezile nikawa nakataa nalipia vipimo tu
Si kumuoona Tena ila siku hiyo bebi mama alienjoy maana kilisimama sana hadi vidonda vilitibuka round ya 3 🤣🤣🤣😭😁Usinimbie ulifanya kurudia na kurudia tena😂😂
Kama hivyo sawa... Nilikua naogopa tuSasa mkuu usipo kula mbona utashindwa hata kumeza mate yako kwanza unakuwa ni mtu wa hasira tu
Bora haukumuona tena😂😂.. Maanake ungekua mchezo wako na vidonda vingetibuka kila sikuSi kumuoona Tena ila siku hiyo bebi mama alienjoy maana kilisimama sana hadi vidonda vilitibuka round ya 3 🤣🤣🤣😭😁
🤣😁😁Kabisa aisee ni balaaa wamasai wanajua dawaBora haukumuona tena😂😂.. Maanake ungekua mchezo wako na vidonda vingetibuka kila siku
Mkuu ukipata Omeprazone mg 20 gold fish kila baada ya siku moja kwa miezi 6 unapona bila shaka yeyote.Mimi nilifikia mpaka siwezi kula vizuri bila kuumwa.Sasa mwaka wa 10 tokea 2004 sijapata tatizo hilo.Huu ugonjwa ni balaa sana nilitoka nao congo drc paka Leo sijapona mwaka wa pili huu nimezunguka hospital nyingi duniani naishia kupewa dawa za kupona miezi 7 alafu baadae ugonjwa unarudi 😭😭😭 ila mwaka huu nilichekiwa na docta mswedish na kipimo cha tumboni akaniambia vimebakia kidogo muhimu niache stress nitapona
Wamasai dawa zao nzuri sana Ila sio hawa WA mjini sikuizi wanachakachua Hadi wao.. Inabidi uwatafute wale WA porini kabisa..🤣😁😁Kabisa aisee ni balaaa wamasai wanajua dawa
Ni sahihi kabisa milikuwa naumwa tambazi hadi meno n kichwa kuuma nikatafuta dawa sana baadae nikamwomba mlinzi mmasai anitafutie dawa aliitafuta akasema 80k nikasema kama nitapona nalipa na mzee muuza dawa yupo moro kijijini alisema utalipa ukipona wiki moja tu sijapata maumivu tenaWamasai dawa zao nzuri sana Ila sio hawa WA mjini sikuizi wanachakachua Hadi wao.. Inabidi uwatafute wale WA porini kabisa..
Nakumbuka Nilikuaga na ugonjwa WA ngozi nilisumbuka nao Sana mahospitali karibu miaka mitatu kama sio minne.. Kuna mmasai mmoja alikua mpangaji wetu aliniambia nikienda nyumbani nitakuletea dawa,, kweli alinitelea unga flani hivi nikawa nakunywa kila siku asubuhi na jioni ndani ya mwezi mmoja tu nilipona na makovu yote yalifutika, nimekua na ngozi nyororo kama ya mtoto mdogo.., na ninaitunza dawa ninayo Hadi Leo Hua nakunywaga mara chache chache isiishe☺️☺️
Tatizo watu hawapimi ili kujua ni aina gani ya vidonda mtu husika anavyo, ili kutumia dawa husika.Ilikua inanikuta nikitumia Omeprazole.. Nikaacha mara moja nilivyogundua kama ndo Inasababisha, na sijawahi kutumia tena[emoji28][emoji23]