Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Sawa fanya alafu utaniambia shida nini, kuna vidonda vya tumbo alafu kuna Gastritis. Fanya endoscopy itatupa majibu kamili.
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
 
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Mbona unaniogopesha mkuu😨😰
 
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Hahaha. Ule uni unaitwa "barium meal" 😄
 
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Kina itwaje hicho kipimo na ni bei gani ?!
 
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Kuna mda maumivu ya mgongo na vichomi unapata?
 
Back
Top Bottom