Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Nadhani itapatikana siku si nyingi Sana.. Ndo ninachokiaminiMi naamini hospitalini dawa hakuna kwa sababu ingekuwepo hata shinzo abe angepona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani itapatikana siku si nyingi Sana.. Ndo ninachokiaminiMi naamini hospitalini dawa hakuna kwa sababu ingekuwepo hata shinzo abe angepona
Kunywa amoxicillin +metronidazole+omeprazole for 14 days
Sawa mkuu,,Sawa fanya alafu utaniambia shida nini, kuna vidonda vya tumbo alafu kuna Gastritis. Fanya endoscopy itatupa majibu kamili.
Yap inasaidia kumzuia hpylori asilete effects zaidimetro na vidonda vya tumbo weeeh
Ilikua inanikuta nikitumia Omeprazole.. Nikaacha mara moja nilivyogundua kama ndo Inasababisha, na sijawahi kutumia tena😅😂Daaah changamoto kuna mtu vikiamua kuvuruga tumbo unakuwa mtu wa kujamba tu 😂😂😂
Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭Sawa fanya alafu utaniambia shida nini, kuna vidonda vya tumbo alafu kuna Gastritis. Fanya endoscopy itatupa majibu kamili.
Bora hata relcegel ndio nzuriIlikua inanikuta nikitumia Omeprazole.. Nikaacha mara moja nilivyogundua kama ndo Inasababisha, na sijawahi kutumia tena😅😂
Mbona unaniogopesha mkuu😨😰Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Hahaha. Ule uni unaitwa "barium meal" 😄Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
Tatizo zinachosha Sana, inabidi ule ushibe kwelikweliBora hata relcegel ndio nzuri
Kina itwaje hicho kipimo na ni bei gani ?!Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭
nini hiyo mkuu ?!Sikumbuki jina ila ilikuw hospitali elfu 25
😁🤣🤣Ukienda kupima usiogope my sister kaza roho mie nilikuwa naogopa kwa sababu nilikuwa Nina presha sana 😭🤣 ila ni Moja wapo ya vipimo ambavyo viko vizuri sana yaani inaonesha Kila kitu tumboniMbona unaniogopesha mkuu😨😰
Kuna mda maumivu ya mgongo na vichomi unapata?Na Kuna kile kipimo kama unakunywa uji hivi unakunywa halafu kwenye screen inaonesha tumbo lako kwa ndani hata kama vipo kwenye utumbo vitaonekana ile endoscopy inaogopesha aisee na ile ganzi wanavyopuliza mdomoni unatamani kukimbia🤣😭😭😭