Chukua cabbage, likate kama wanavyolikaya wakipika mboga
Ukishakata chemasha maji lita tano kwenye sufuria. Yakichemka tu epua kisha weka vipande ulivyokata.
Unaacha mchanganyiko wako wa cabbage na maji upoe
Saga carrot na kidude cha kusagia. Kisha changanya na cabbage inayopoa. Inches ipoe kabisa
Ukinaliza weka kwenye brenda saga mchanganyiko wako. Sasa kwenye kusaga haitakiwi iwe uji. Unasaga sekunde 5 hivi
Ukimakiza tafuta ndoo ndogo au chombo chochote hata dumu. Kisha weka mchanganyiko wako uliosaga na 🥕 with cabbage.
Hakikisha unaweka kwenye chombo ambacho ukiweka kina space ndani. Maana yake ukiweka kwenye ndoo ya lita kumi. Mchanganyioko wako utakuwa lita tano, na ndoo haijai. Ukiacha na nafasi inajitengeneza vizuri fermentation
Hapo unakuwa kama unatengeneza pombe. Maana inakuwa kama pombe, lazima ndoo iwe na nafasi.
Unafunika ndoo kwa siku tatu 72 hours. Hakikisha hewa haiingii unabana mfuniko vizuri.
Baada ya saa 72 toka ubane ndoo unafungua ile ndoo. Unachuja maji. Kifupi yana harufu kali, ila utazoea. Cabbage ukiliosha kawaida tu linatoa harufu, hapo kitakuwa na harufu kali kidogo
Ukichuja unatupa matakataka hayo maji unaweka kwenye chombo then kwenye fridge. Utakuwa unakunywa nusu saa kabla ya kula. Ukitumia miezi miwili unapumzika mwezi kisha unatumia tena miezi miwili then unapumzika hata miezi mitatu kisha unatumia mwezi mmoja
Nilitumia miezi 2 nikaka miezi sita nikatumia tena. Kama hujaelewa nitakupigia simu nikueleweshe
Matumizi: Wife ananikamulia machungwa mawili, kisha nachanganya na maji ya cabbage yaliyo kwenye fridge kutoa harufu. Huwa naweka na kitunguu swaumu siku moja moja.....
Any questions?