Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho nilifanya ultrasound tu, Ila nina mpango WA kufanya endoscopy hivi karibuniSijajua sasa hospital walikuambia shida ni nini hasa na ulipima kipimo aina gani tuanzie hapo ?!
Naunga mkono hojaTatizo Ni kwamba almost vyakula vyote ambavyo vinasababisha gesi ndo ambavyo viko common na affordable Kwa watu wa level zote,. Tofauti na hapo Ni kuviongeza tu vidonda Kwa kutokula mlo kamili
Naona hiyo Iko simple nayoTumieni na asali mbichi lowekeni bamia alafu kunywa asubuhi na jioni kuleni kwa wakati mie ndo navyoishi saivi😭
Barikiwa sana mkuu
Huu ugonjwa ulitaka kunitoa roho kule swedish paka nilipumulia gesi yaani tumbo linauma kama nataka kufa vile yaani siku hiyo nikasema hapa nakufa mda wowote ule nilikuwa nachomwa sindano za kutoa gesi tumboni 😭😭😭Naona hiyo Iko simple nayo
YeahNi kwa sabubu ya vidanda vya tumbo?
Vinaumiza Sana aisee... Naelewa unachokizungumza,,.huu ugonjwa Ni matesoHuu ugonjwa ulitaka kunitoa roho kule swedish paka nilipumulia gesi yaani tumbo linauma kama nataka kufa vile yaani siku hiyo nikasema hapa nakufa mda wowote ule nilikuwa nachomwa sindano za kutoa gesi tumboni 😭😭😭
Hakuna namna, wacha tu tuendelee kutafuta tibaKuna
daah pole sana, sema tutakuja kula sumu sasa
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa.
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo, yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana.
Unakula ? Unakunywa maji ?
Kihospital hospital vidonda vya tumbo is very challenging kupona
Aisee mi vimenisumbua mda sana nilivyoanza kunywa bia na kuzingatia vyakula na mda wa kula tumbo liko poa kabisa
Sawa fanya alafu utaniambia shida nini, kuna vidonda vya tumbo alafu kuna Gastritis. Fanya endoscopy itatupa majibu kamili.Mara ya mwisho nilifanya ultrasound tu, Ila nina mpango WA kufanya endoscopy hivi karibuni
SEAMOSS NA KAMA UNAWEZA KILA ASUBUHI KUNYWA KIJIKO KIMOJA CHA BLACK SEED OIL
PIA CHAI YA UWATU(FANUGREEK) NA BLACKSEED