PAKASHUME JOHN
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 303
- 329
Ukividekeza imekula kwako kisaikoljiaAisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana
Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumlaAisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana
[emoji817]Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumla
Tatizo Ni kwamba almost vyakula vyote ambavyo vinasababisha gesi ndo ambavyo viko common na affordable Kwa watu wa level zote,. Tofauti na hapo Ni kuviongeza tu vidonda Kwa kutokula mlo kamiliKupona vidonda vya tumbo sio rahisi kwa sababu vipo ndani ya tumbo na tumboni kuna chemical na pia asilimia kubwa ya vyakula vina kemikal , ili upone lazima utafute namna ya kuepuka Vyakula vyenye kemikal na kula vyakula vyenye uwezo wa kukabiliana na acid ili vidondo vipate mda wa kupona.
Mlonge ndio Nini mkuu??, na Uwatu ndio kitu gani?Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumla
matumizi yake yapoje sasa mkuu ?? kiasi gani,na asubuhi mchana na jioni au ...?! Alafu hivi mlonge siyo mchungu kweli ?Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumla
Duh sa itakuaje🤔Tatizo Ni kwamba almost vyakula vyote ambavyo vinasababisha gesi ndo ambavyo viko common na affordable Kwa watu wa level zote,. Tofauti na hapo Ni kuviongeza tu vidonda Kwa kutokula mlo kamili
Ni kupambana tu na hizi dawa mpaka kielewekeDuh sa itakuaje🤔
Dawa za asili au za hospital ?!Ni kupambana tu na hizi dawa mpaka kieleweke
Ila mwanangu mbona kama bia ni tiba iv !! Unajua watu wanaona kama masihara ivi ,ila kuna namna inasaidia [emoji848]Aisee mi vimenisumbua mda sana nilivyoanza kunywa bia na kuzingatia vyakula na mda wa kula tumbo liko poa kabisa
Za hospitali saizi nimeachana nazo, nimehamia kwa wamasai walau naona kuna unafuu napata tofauti na mwanzoDawa za asili au za hospital ?!
umewahi kutumia unga wa mlonge ?Za hospitali saizi nimeachana nazo, nimehamia kwa wamasai walau naona kuna unafuu napata tofauti na mwanzo
Sijawahi mkuu.. Naomba nisaidie kwanza mlonge ndio mnini?umewahi kutumia unga wa mlonge ?