Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

Ukividekeza imekula kwako kisaikoljia
 
Kwa upande wangu nilitumia sana dawa za hospitali lakini kiukweli ilikuwa nikama zinatuliza kwa muda..
Jambo lililofanya ni kuepuka kitu chochote ambacho ni kila .. kinafanya kuamsha vidonda tumbo...
Kwa mfano dagaa..ni mwaka wa nne sasa situmii.. na vinginevyo..
 
Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumla
 
Tafuta Omeprazone 20mg imeandikwa gold fish viko kwenye box ya Pink na nyeupe.Mimi nimetumia miezi 6 kila baada ya siku moja na nimepona kabisa.
Nimefanyiwa checking ya kuingiza mipira kupitia puani hadi tumboni. Na ikathibitishwa nimepona kabisa.Huu ni mwaka wa 10 sasa sina tatizo hilo kabisa.
 
Tatizo Ni kwamba almost vyakula vyote ambavyo vinasababisha gesi ndo ambavyo viko common na affordable Kwa watu wa level zote,. Tofauti na hapo Ni kuviongeza tu vidonda Kwa kutokula mlo kamili
 
Tatizo Ni kwamba almost vyakula vyote ambavyo vinasababisha gesi ndo ambavyo viko common na affordable Kwa watu wa level zote,. Tofauti na hapo Ni kuviongeza tu vidonda Kwa kutokula mlo kamili
Duh sa itakuaje🤔
 
Kuna mtu wangu wa karibu ambaye ana ulcers zile chronic, siku zikiamka huwa anachukua majani ya mlonge na mstafeli, anayatwanga na kuyachemsha pamoja, baada ya hapo huwa anakunywa na vinapoa faster

Hii ndio nimethibitisha 100%
 
Unga wa Mlonge, Uwatu na Mafuta ya Black Seed! Tumia kwa mwezi unapona jumla
Ngoja nijaribu mchanganyiko wake ila mlonge wenyewe ulichemsha
 
Fanya Intermittent fasting utakuja kunishukuru siku moja achana na ngonjera za kula milo mitatu kwa siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…