Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ungo unavunjwa?Ungo umevunja lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungo unavunjwa?Ungo umevunja lini?
Nakutakia Usiku mwema huko TanzaniaUngo unavunjwa?
Sasa kubeba mimba Kisha uchungu wa kuzaa + kulea hapo ameokoa nini?Wengine hatujui hata matumbo ya P yanaumaje.
Aisee wewe una raha sana hapa duniani. Wanawake wengi wana hii natural changamoto ya kila mweziWengine hatujui hata matumbo ya P yanaumaje.
Roho za kina Corneille NangaaHuyu anatumiaga painkillers (sana sana Vivian Plus) na anachemsha maji anaweka kwenye chupa ya 1L mfano Hill au Uhai kisha anazungusha taulo anaikumbatia anaenda chumbani.
Hapo mi nacheza COD: Black Ops 6 kwenye PS5.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Tumia mzungwa ila kama una mpango wa kupata mtoto Kwa SS usikutane na mr ukiwa unatumiawanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Tatizo na nani sasa? 😅
Kwshiyo unashindana na muumba siowanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?