The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Wanawake mnapendana sana. Hongereni.
Sasa hivi utaita mods waje oooh unadharirishwa sijui Nini,
Mwenyewe unachezea moto hapa nakuonya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake mnapendana sana. Hongereni.
Njoo ghetto kwangu ninayo dawa yako ya kupunguza maumivuwanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Humzingatii? Tumbo linauma ujueHuyu anatumiaga painkillers (sana sana Vivian Plus) na anachemsha maji anaweka kwenye chupa ya 1L mfano Hill au Uhai kisha anazungusha taulo anaikumbatia anaenda chumbani.
Hapo mi nacheza COD: Black Ops 6 kwenye PS5.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Dawa ni mimba tu
Mpaka akazwe akazike ashitukie tu chubwi kimeingia then mwezi unaofuata hatoziona tena siku hizo na ataanza na kichefuchefu na kupenda kula udongo asiklimu za ukwajuPole sana
Ninayo dawaMiaka kadhaa iliyopita nimetumia Dawa nyingi hakuna unafuu
Sasa asex wakati wa period au wakati gani? Anasema tumbo la period, mnaotaka asibane miguu muoeni ataachia miguu jamani, atanue miguu akiwa mmoja akiwa na kitoto mumkimbie tulia mpaka tukuoe na tutakuoa, ukitaka ujuwe wanaume hawana huruma mwambie Nina mimba utasikia ETI NINI? Sio kwamba hajasikia.realMamy Zingatia huu ushauri wa mdau..Acha kubana sana miguu 😂.
Sasa me nifanyeje? Pole nyingi anapata.Humzingatii? Tumbo linauma ujue
Kwani nani kakwambia mimba inakataliwa? Anaekataliwa ni mtoto sio mimbaukitaka ujuwe wanaume hawana huruma mwambie Nina mimba utasikia ETI NINI? Sio kwamba hajasikia.
Tafuta Zaituni bivu kabla ya kulichuma chuchumaa limwagie mtama chuma kisha anza kula mdogo mdogoPole sana tumia GOFEN inasaidia.