Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

Huyu anatumiaga painkillers (sana sana Vivian Plus) na anachemsha maji anaweka kwenye chupa ya 1L mfano Hill au Uhai kisha anazungusha taulo anaikumbatia anaenda chumbani.

Hapo mi nacheza COD: Black Ops 6 kwenye PS5.

Kila mtu ashinde mechi zake.
Humzingatii? Tumbo linauma ujue
 
realMamy Zingatia huu ushauri wa mdau..Acha kubana sana miguu 😂.
Sasa asex wakati wa period au wakati gani? Anasema tumbo la period, mnaotaka asibane miguu muoeni ataachia miguu jamani, atanue miguu akiwa mmoja akiwa na kitoto mumkimbie tulia mpaka tukuoe na tutakuoa, ukitaka ujuwe wanaume hawana huruma mwambie Nina mimba utasikia ETI NINI? Sio kwamba hajasikia.
 
Back
Top Bottom