Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

Kumbe kweliiii maana alikua analalamika anasema sijui hii naniliu kubwa..
Hi yangu et...

Nikawa najiuliza ni kweli au ananichora.
Huyu sio mshangazi lakini haka ni katoto ka elfu mbili ambacho nilikutananacho kule tulipokamatwa na halmashauli
Inatokeaga hakudanganyi kabisa na hapo ndo tumbo linauma sana
 
Nicheki dawa ipo, si ya kunywa ila ni ya mazoezi tu; muhimu, usipende kumeza meza dawa hovyo, nakupa ushauri kama baba mwenye watoto 11 😀
Sitaki Unataka kuniongeza wa 12 😅😅😅
 
Huyu anatumiaga painkillers (sana sana Vivian Plus) na anachemsha maji anaweka kwenye chupa ya 1L mfano Hill au Uhai kisha anazungusha taulo anaikumbatia anaenda chumbani.

Hapo mi nacheza COD: Black Ops 6 kwenye PS5.

Kila mtu ashinde mechi zake.
Maji moto kwenye chupa ya majipoa si inayeyuka?
 
Back
Top Bottom