Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nicheki dawa ipo, si ya kunywa ila ni ya mazoezi tu; muhimu, usipende kumeza meza dawa hovyo, nakupa ushauri kama baba mwenye watoto 11 😀Uchokozi tu 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicheki dawa ipo, si ya kunywa ila ni ya mazoezi tu; muhimu, usipende kumeza meza dawa hovyo, nakupa ushauri kama baba mwenye watoto 11 😀Uchokozi tu 😅
Inatokeaga hakudanganyi kabisa na hapo ndo tumbo linauma sanaKumbe kweliiii maana alikua analalamika anasema sijui hii naniliu kubwa..
Hi yangu et...
Nikawa najiuliza ni kweli au ananichora.
Huyu sio mshangazi lakini haka ni katoto ka elfu mbili ambacho nilikutananacho kule tulipokamatwa na halmashauli
Kumbe anaweza kuharisha kama bata tenaNaelewa sana...maumivu yake sio poa
Binafsi maumivu huwa ni makali mno na yanaambatana na diarrhea 😃
Unafanya wiki mbili mfululizo kabla ya kuingiaNafanyaje nikiwa naumwa sasa?
Nimevunja Beseni
Nimejizungumzia mimiKumbe anaweza kuharisha kama bata tena
Kuna dawa ya miziziwanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Sawa rafikiNimejizungumzia mimi
Maji moto kwenye chupa ya majipoa si inayeyuka?Huyu anatumiaga painkillers (sana sana Vivian Plus) na anachemsha maji anaweka kwenye chupa ya 1L mfano Hill au Uhai kisha anazungusha taulo anaikumbatia anaenda chumbani.
Hapo mi nacheza COD: Black Ops 6 kwenye PS5.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Eeeh mkuu asante ila acha tu niendelee na hizi hizi dawa.Tafuta Zaituni bivu kabla ya kulichuma chuchumaa limwagie mtama chuma kisha anza kula mdogo mdogo
Nyie mnaoumia wakati huu...mna kitu cha kipekee sanaNaelewa sana...maumivu yake sio poa
Binafsi maumivu huwa ni makali mno na yanaambatana na diarrhea 😃
Sitaki Unataka kuniongeza wa 12 😅😅😅
Hayawi 100°C yanakuaga vugu-vugu flani ila ya moto ukishika unaungua. Chupa itakua deformed tu sio kuyeyuka.Maji moto kwenye chupa ya majipoa si inayeyuka?
Oyaaah tunakula tumia tafsidaNaelewa sana...maumivu yake sio poa
Binafsi maumivu huwa ni makali mno na yanaambatana na diarrhea 😃
Poleni sana aiseeeInatokeaga hakudanganyi kabisa na hapo ndo tumbo linauma sana