The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How??Nyie mnaoumia wakati huu...mna kitu cha kipekee sana
Kimekuramba😂wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Wala wasikuhangaishe, uzazi pamoja na kuwa ni majaliwa lakini kuna adha nyingi mno, ukisema uzae tu kwa sababu ndogo kiasi hicho au kwa misikumo ya watu na tamaa zao gharama zitakuwa kwako kubwa.Eti Jamani, wanataka nizae na wale nizalie nikuoe 😀
NakaziaDawa ni mimba tu
Nitakwambia nyumbaniHow??
Oyaaa diarrhea ni tafsida hiyoOyaaah tunakula tumia tafsida
KusukutuaKukanda au kunywa? Asante
Nakusubiri ufike silaliNitakwambia nyumbani
Ukinunua "Baby Oil" soma maelekezo namna ya kutumia.Kukanda au kunywa? Asante
Mimi nakupa pole huitikiiAsante 😊