The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Amekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.
Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?
Unless kuatakuwa na shida mahali
This is what is seeAmekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....
Maandalizi ya mbinyo wa medical suply toka Kwa wahisani!!Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.
Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?
Unless kuatakuwa na shida mahali
Kampeni zimeanza?Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.
Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?
Unless kuatakuwa na shida mahali
ndugu nikihitaji hii naipataje?Nishanunuaga dawa ya kupuliza/kuua viluilui vya wadudu wa mbuu hapo kibaha aise dawa si mchezo,
Najuwa hii issue ya dawa za wacuba hapo kibaha ni zengwe tu na hilo zengwe halijaanza leo
Kuna watu wanaona kama biashara zao zitaharibika
Nyie endeleeni kuleta siasa ila kwa sisi wengine kitambo tu tunajuwa namna ya kuzipata hizo dawa na kuzitumia kwa matumizi yetubinafsi
Na zinatusaidia
Ova
Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.
Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?
Unless kuatakuwa na shida mahali
Au angewaunganisha wafanyabiashara wa dawa wa Tanzania na hao watengenezaji wa hizo dawa huko Cuba.Amekurupuka.....alitakiwa aunganishe wizara na Cuba wafuate utaratibu...ikiwa ready wizara itatangaza na kumpa credit zake balozi bila hiyana ....alichofanya sio sawa....labda kama anataka KM nafasi i wazi.....
Lazima dawa zote sisajiliwe kwanza.....wizara lazima iwemo kwenye mpango woteAu angewaunganisha wafanyabiashara wa dawa wa Tanzania na hao watengenezaji wa hizo dawa huko Cuba.
Hapana. Watu watibiwe tu. Ila Sasa utaratibu unashangaza watu wakipata madhara na hizo dawa Nani atajibu?Mkuu, Hutaki watu watibiwe kutoka CUBA?
Watamhamishia Madagascar au JapanNavojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Raisi kuwakilisha nchi.
Kwa nini swala la dawa kutoka CUBA atangaze eye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na Nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital ?
Unless kuatakuwa na shida mahali
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...Ni dawa za nini??
Hakika serikali ikiamua imeamuaMambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Kama kuna dawa ambazo ni nzuri zaidi kwanini awekewe vikwazo lengo letu ni moja kumtibu mtanzania katika aina bora zaidi ya dawa.Nishanunuaga dawa ya kupuliza/kuua viluilui vya wadudu wa mbuu hapo kibaha aise dawa si mchezo,
Najuwa hii issue ya dawa za wacuba hapo kibaha ni zengwe tu na hilo zengwe halijaanza leo
Kuna watu wanaona kama biashara zao zitaharibika
Nyie endeleeni kuleta siasa ila kwa sisi wengine kitambo tu tunajuwa namna ya kuzipata hizo dawa na kuzitumia kwa matumizi yetubinafsi
Na zinatusaidia
Ova