Iddy nziguye
Member
- Jan 1, 2024
- 12
- 6
HIVI TUFANYE MAOMBI GANI MUNGU AIACHIE NCHI YETU?Navojua polepole ni mtumishi wa serikali. Na ametumwa na Rais kuwakilisha nchi.
Kwanini suala la dawa kutoka CUBA atangaze yeye kama yeye na siyo wizara ya afya.
Hizo dawa zimethibitishwa na nani kwa matumizi ya hapa Tanzania and how ziende private hospital?
Unless kutakuwa na shida mahali
ALIKWENDA MADAGASKA PROF. ALIYETOLEWA JALALANI, ALIKUJA NA DAWA AMBAYO HAIKUTANGAZWA NA WIZARA YA AFYA.
SASA HII YA M CCM MBALI YA KUITANGAZA MPAKA HOSPITALI ANAYO ITAKA YEYE NDIYO ITAKAYO POKEA ANAOTAKA YEYE KUWAHUDUMIA.
KAMA KILA BALOZI ATAFANYA BIASHARA YA ANAKO TUWAKILISHA.
BASI WA ENGLAND ATACHAGUWA ANAOWATAKA KUONGEA KINGEREZA.