Dawa ya huu ugonjwa msaada

Dawa ya huu ugonjwa msaada

Alikaeli

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
169
Reaction score
194
Naomba msaada wa tiba ya ugonjwa huu kama picha inavyojionyesha.
1498971499971.jpg
 
Nikushauri uende hospitali. Unachotuonesha ni madhara ya ugonjwa ila chanzo chake hospitali watakisemea zaidi. Ni hatari kushauriwa tiba humu na watu ambao huwezi kuthibitisha ni madaktari. Ila ngoja waje wengine kukushauri ingawa hujasema unataka dawa za kitaalam au zile zetu za jadi!!
 
Nakushauri uende/aende hospitali. Sidhani kama ni tatizo la kutisha. Huko likishindikana kutibika ndio unaweza leta mrejesho members wakusaidie mawazo mbadala.
 
Nenda hospital but kama moto wa nairob fly
 
Nishawahi ona hiyo kitu lakini ilikuwa mguuni na husababishwa na Kula ngano nyingi... Chapati, maandazi, bia N.K
 
Back
Top Bottom