Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

denis fourplux,

Mkuu umemaliza asipokusikia hapa basi tena

Unachokiongelea hapa hasa hiyo point ya pili upo sawa kabisa aweke lengo tu within two weeks anasahau yote hayo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu umemaliza asipokusikia hapa basi tena

Unachokiongelea hapa hasa hiyo point ya pili upo sawa kabisa aweke lengo tu within two weeks anasahau yote hayo


Sent from my iPhone using JamiiForums

[emoji1431]
 
Nina jamaa yangu ni mtaalamu yupo Tanga mjini mtaa X, kama upo Serious sema nimpe dili mtalaam amrudishe mpenzi wako.
 
Mpe muda wa kujua umuhimu wako katika maisha yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo hajiamini mwenyewe ngoja nimpe siri ya mapenzi ilivyo na uchawi wake
1. Distance inauwa mapenzi ukatae ukubali ( mtasalitiana tu) mmoja wenu au wote inategemea na mazingira

2.Mkidumu kwenye mahusiano mda mrefu sana bila kuwa na kitu kinacho waunganisha jua pia mtaachn tu coz kunakuchokana , kumuona mtu yuko vile vile na kushushana thamani mfano wanaume uwahi mchoka mwanamke sana especially aliwa kaisha sex nae mara nyingi ndipo thamani ya mwanamke inashuka ili utengeneze thamani yako lazima uwe na msimamo usitumie sex as execuse ya kulinda penzi lako

3.watu wanazani kuchati chati sana au kupigiana simu kila baada ya dk 10 au 30 ndio mapenzi na kujaliana hapana, wanaofanya ivyo ni watu ambao hawajakua na hawana kazi ya kufanya na mazoea hujenga Tabia , kumjali mtu sio mawasiliano ya kila mara bali ni commitment ya mtu kwa mpenzi wake, utayari na kujitoa kwa jambo - au + yaweza isiwe kifedha ikawa kimawazo, kushawishi au kuliwadha

4. Ukimtafuta au mtumia msg mtu sana na kumpigia simu sana kichwani hanapata jibu kwamba uyu mtu ananipenda na hawezi niacha so kiburi kinazidi daima
Solution na wewe una mute kwa muda uone je uwa anakukumbuka au kukumis kama ndivyo niamini atakutafuta tu kama alikupenda kweli , maana ata kaa siku 3-4 asipoona simu wa msg atajiuliza whats happen sasa hapa lazima atakutafuta kwa njia nyingi mfano anaweza ingia whatsapp kuangalia kama upo online, umeweka status, anaingia mitandao yote ya kijamii kujua whats going on, wewe unaweza usijue chochote coz haumfatilii but trust me ana kufatilia pasipo kujua coz anataka ajue kipi kimekupa kiburi , wanawake wakifikia hapa sasa ndo uwa wanakosea wanaanza post vijembe unakuta wanakosea maana mwanaume anajua ohh kumbe uyu ni mswahili ivi sema alikua hajionyeshi

Just cool down endelea fanya yako kumrudisha mtu uyo atarudi mwenyewe maana atashangaa ghafla haumtafuti tena na siku zinaenda akicheki anaona unafuraha ( ulishawai skia mtu anakwambia asee nimekutana na X wangu kanawili balaa) unajua kwa nini before alikua hajali sana na kucare hakuon uziri wako kwa kua alikuzoea sana, tengeneza thamani yako kwanza kwake.

5.Epuka mahusiano yanayopelekea kukaa sehemu moja kila mtu akae kivyake kuonan iwe ni kwa siku maalumu na ujifunze pia kutafuta sana kwa maan ukiwa na chako unacho msaidia mpenzi wako siku akikikosa lzm atakukumbuk tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi ni ke dada ningekua na hizo nguvu za chapa nipote hivi mbona ningepumua! Sisi ndio wale mabozozo tukipenda tumependa
Humu tuna mganga wetu Jf anaitwa mshana Jr huyu hatozi hela nyingi. Unampa kuku wa kijani tu sio lazima awe wa kienyeji hata wa kisasa anapokea.
 
Utakuwa sawa baadae, tafuta vitu vya kikudistract si rahisi ila fanya kama unameza quinine
Hivi eeh🥺🥺 daah aisee basi Mungu anisaidie maana kila kunavyokucha naona km ndio nimetendewa hvy jana ndio maana nakua km nachanganyikiwa daah[emoji24][emoji24]
 
Roga tu mwanangu wala usitie shaka,yani uchawi uchawi tu mwanzo mwisho.
 
Kavutwa kiutaalam na wengine
Alinikwaza na mimi nilimkwaza ila hazikua sababu zenye mashiko kabisaa kufikia huku na kiupande wangu niliomba msamaha kwa pale nilipokosea tena mapema kabisa baada ya kuona nimemkosea...akawa km amekubali mara aniambie tuachane kuna siku akainsist sana nimuache nikajibu kiunyongr tu sawa maana sikua na jinsi baada ya siku mbili akanitafuta kutaka yaishe na alikosea nikamwambia its okay yameisha....ila tena ghafla hata siku mbili hazijapita ananiambia anaona bora aniache yaani inshort yupo km psycho kuna muda anakua sawa kuna muda anazingua mwisho wa siku ikafikia hapokei cm wala hajibu txts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi yana run dunia [emoji132] ila mmbo hya bhn n kujiendekeza ila sidhan itakuja tokea siku nikaenda kwa mganga kurudisha mpenzi kama hatak tuelewane bas kama mbaya mbaya na pia dada Kimbisa hayo mawazo hebu jitahd uyaache maana mawazo yanaua ujue ila kwa mambo mengne mm sina msaa mm mapenz kwangu huwa n ya kigumu hta nilienae nampenda lkn hajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom