Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
- Thread starter
- #21
Asante ChiefMkuu Usiwaze sana hiyo unaweza kuitengeneza mwenyewe. Achana na wanaojifanya much know badala ya kunyamaza lakini wanaandika wanayoyajua wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ChiefMkuu Usiwaze sana hiyo unaweza kuitengeneza mwenyewe. Achana na wanaojifanya much know badala ya kunyamaza lakini wanaandika wanayoyajua wao.
Chukua kitunguu maji..kata vipande vidogo sana..Chukua Tangawizi kata vipande vidogo sana..Wakuu,
Naombeni dawa ya kuotesha nywele, nina kipara cha hatari.
Asanteni
Wakuu,
Naombeni dawa ya kuotesha nywele, nina kipara cha hatari.
Asanteni
dronedrake mshauri mwenzio wewe zako ulizioteshaje?Wakuu,
Naombeni dawa ya kuotesha nywele, nina kipara cha hatari.
Asanteni
Asante, nilipata mkuu
Nmekutumia pmTuone picha
Sahihi ChiefMkuu hapo chapa miwani badili na mwendo
Acha kukatua miwa au kutafuna vitu ukiwa road
Hapo utaendana nao.
Ndio mkuuUlipata suluhisho
Kabisa bossDon't overthink
Mkuu pole kwa changamoto vp ulipata tiba ya tatizo lako??Asante, nilipata mkuu