Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, nilipata, natumia saiviMkuu pole kwa changamoto vp ulipata tiba ya tatizo lako??
Mkuu pole kwa changamoto vp ulipata tiba ya tatizo lako??Asante, nilipata mkuu
Yes mkuuHicho mbona unyama unakikwangua unadunga sikio alafu unafuga beards.
Asante mkuu, nilipata, natumia saivi
Usijali kaka, nmemuita Manyanza ,afafanueEnter Passcode unaweza share namimi pm kidogo nijue pakuanzia coz hii changamoto namimi inanikumba
Chukua kitunguu maji..kata vipande vidogo sana..Chukua Tangawizi kata vipande vidogo sana..Enter Passcode unaweza share namimi pm kidogo nijue pakuanzia coz hii changamoto namimi inanikumba
na nywele zikarudi vyema?Ndio mkuu
Nmeanza dozi janana nywele zikarudi vyema?
Kaka mie nasubili feedback kutoka kwako kutokana na mwezi huu sipo sehem rafiki sana kupata hizo hudumaChukua kitunguu maji..kata vipande vidogo sana..Chukua Tangawizi kata vipande vidogo sana..
Hivyo vipande vya Vitunguu na Tangawizi vichanganye kwenye sufuria..tia maji,pia tia mafuta Zaituni.
Chemsha kwa dakika 15..
Baada ya hapo chuja na mchanganyiko utakaoupata anza kutumia kwa kupaka kichwani kwa wiki mara tatu.
Halafu Rudi utoe ushuhuda.
BRN
Chukua kitunguu maji..kata vipande vidogo sana..Chukua Tangawizi kata vipande vidogo sana..
Hivyo vipande vya Vitunguu na Tangawizi vichanganye kwenye sufuria..tia maji,pia tia mafuta Zaituni.
Chemsha kwa dakika 15..
Baada ya hapo chuja na mchanganyiko utakaoupata anza kutumia kwa kupaka kichwani kwa wiki mara tatu.
Halafu Rudi utoe ushuhuda.
BRN
In vitunguu swaumu sio tangawiziNmeanza dozi jana
I am sorry mkuu, kumbe ni vitunguu swaumu, uzur nmekutag umelekebishaMbona unapotosha Mkuu au video hukuielewa?
😂😂😂Mkuu hapo chapa miwani badili na mwendo
Acha kukatua miwa au kutafuna vitu ukiwa road
Hapo utaendana nao.