Dawa ya mseto ya kutibu malaria ipigwe marufuku kama ilivyokuwa kwa chloroquine

Dawa ya mseto ya kutibu malaria ipigwe marufuku kama ilivyokuwa kwa chloroquine

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Miaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia

Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
  • Mwili umechoka
  • Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
  • Mdomo mchungu kupita maelezo
  • Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya

Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
 
Nilivyokua mdogo niliumwa malaria nikanywa amodiaquine sitakaa nisahau ile experience ile dawa iliongeza maumivu maradufu usiku hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia

Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
  • Mwili umechoka
  • Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
  • Mdomo mchungu kupita maelezo
  • Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Wewe huenda unaumwa ugonjwa mgine sio maleria, Mseto haina side effect hizo
 
Wabongo bana, kila kitu wana ujuzi nacho! Sijui na qualification gani huyu ntu hadi anaagiza dawa iachwe kwa matumizi ya umma kwa kuwa kajisikia tu yeye😛😛
Chloroquine na amadiaquine hazitumiki tena sababu zilikua severe side effects
Kuna-kitu kinaitwa Pharmacovigilance dawa inafuatiliwa ili kugundua side effects ambazo Hazikuwa noticed during clinical trials
 
Back
Top Bottom