Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Unajiita Mpigania uhuru halafu unakuwa legelege, ungeambiwa unywe mwarobaini kujitibu malaria si ungekufa hapo hapo.
Kitu kinachemshwa unapewa unywe nyingine ujifukizia hakuna dozi maalum ni bidii Yako tu upone.
Artemether lumefantrine ni dawa yenye maudhi kidogo kulinganisha na dawa nyingine za malaria 🦟 lakini unapoona hali yako inazidi kuwa mbaya rudi kituo cha afya
Kitu kinachemshwa unapewa unywe nyingine ujifukizia hakuna dozi maalum ni bidii Yako tu upone.
Artemether lumefantrine ni dawa yenye maudhi kidogo kulinganisha na dawa nyingine za malaria 🦟 lakini unapoona hali yako inazidi kuwa mbaya rudi kituo cha afya